WIZARA YA ARDHI YAKABIDHI HATI ZA UMILIKI PWANI MCHANGANI KATIKA WIKI YA ARDHI

Wizara ya Ardhi, Maendeleo na Makaazi Zanzibar imekabidhi hati za umiliki wa ardhi kwa wananchi wa Shehia ya Pwani Mchangani, Mkoa wa Kaskazini Unguja, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Ardhi yanayoendelea nchini. Akizungumza katika hafla hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Mhe. Cassian Gallos Nyembo, amesema hatua hiyo itasaidia wananchi kujiepusha na migogoro ya ardhi kwa kuhakikisha wanamiliki ardhi zao kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizowekwa. Kwa upande wake, Waziri wa Ardhi, Maendeleo na Makaazi Zanzibar, Mhe. Rahma Kassim Ali, amewataka wananchi kuwa waangalifu wanaponunua ardhi kwa kuhakikisha wanathibitisha uhalali wa umiliki wake ili kuepuka matukio ya utapeli. Amesema migogoro ya ardhi imekuwa ikikwamisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika baadhi ya maeneo, huku akiwataka wananchi kujiepusha na madalali wasiokuwa waaminifu wanaojihusisha na uuzaji wa ardhi ambazo si mali yao. Aidha, Waziri huyo amesisitiza umuhimu wa kupima ardhi na kupata hati za umiliki ili kulinda haki za wamiliki pamoja na kuzuia migogoro inayoweza kujitokeza baadaye, hususan kwa warithi. Wananchi waliokabidhiwa hati hizo wameishukuru Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Wizara ya Ardhi kwa hatua hiyo, wakieleza kuwa itawawezesha kulinda umiliki wa ardhi zao na kupunguza migogoro inayohusiana na ardhi katika maeneo yao. #Zanzibar #WikiYaArdhi #PwaniMchangani #Ardhi #MaendeleoYaMakaazi #KaskaziniUnguja #HatiZaUmiliki #AsamOnlineTV #TrendingNow

WANANCHI PWANI MCHANGANI WAKABIDHIWA HATI ZA ARDHI KATIKA WIKI YA ARDHI
▶︎

WANANCHI PWANI MCHANGANI WAKABIDHIWA HATI ZA ARDHI KATIKA WIKI YA ARDHI

KIJANA WA MAKWACHU APOOZA MWILI BAADA YA AJALI ALIPOKUWA AKIPIGA MAKWACHU - MARUHUBI
▶︎

KIJANA WA MAKWACHU APOOZA MWILI BAADA YA AJALI ALIPOKUWA AKIPIGA MAKWACHU - MARUHUBI

WANANCHI 91 MAUNGANI KUNUFAIKA NA HATI ZA UMILIKI WA ARDHI
▶︎

WANANCHI 91 MAUNGANI KUNUFAIKA NA HATI ZA UMILIKI WA ARDHI

"TULIKUTANA NA JAMBO LA AJABU PORINI" Sheikh Shariff Matongo Asimulia Mikasa Mizito ya Maisha Yake
▶︎

"TULIKUTANA NA JAMBO LA AJABU PORINI" Sheikh Shariff Matongo Asimulia Mikasa Mizito ya Maisha Yake

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI
▶︎

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

WAKILI MADELEKA AMSHUKIA WAZIRI ATOE KIFUNGU KILICHOMPA MAMLAKA  KUMUAMRISHA IGP
▶︎

WAKILI MADELEKA AMSHUKIA WAZIRI ATOE KIFUNGU KILICHOMPA MAMLAKA KUMUAMRISHA IGP

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

WAKAAZI WA KINUNI WAPAZA SAUTI KUHUSU VITENDO VYA KIHALIFU
▶︎

WAKAAZI WA KINUNI WAPAZA SAUTI KUHUSU VITENDO VYA KIHALIFU

Katambi: "Katazo la Mikutano ya Siasa ni Kinyume Cha Katiba" LHRC Yamtolea waja juu
▶︎

Katambi: "Katazo la Mikutano ya Siasa ni Kinyume Cha Katiba" LHRC Yamtolea waja juu

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA
▶︎

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

WANANCHI KIHINANI NA CHUINI WATEMA CHECHE KATIKA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA
▶︎

WANANCHI KIHINANI NA CHUINI WATEMA CHECHE KATIKA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA

DC NATEPE AKUTANA NA MAZITO KWARARA, MAJI, AFYA, ULINZI SHIRIKISHI, BARABARA
▶︎

DC NATEPE AKUTANA NA MAZITO KWARARA, MAJI, AFYA, ULINZI SHIRIKISHI, BARABARA

Gen Rtd Fred Ibingira  NDISHIMYE BIMVUYE KUMUTIMA 🙏KUVUGA IBI TURIKUMWE IMBERE YABANTU NUBWAMBERE🇷🇼
▶︎

Gen Rtd Fred Ibingira NDISHIMYE BIMVUYE KUMUTIMA 🙏KUVUGA IBI TURIKUMWE IMBERE YABANTU NUBWAMBERE🇷🇼

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.
▶︎

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.

MAMLAKA YA MJI MKONGWE YAWABANA WAFANYABIASHARA HOLELA DARAJANI
▶︎

MAMLAKA YA MJI MKONGWE YAWABANA WAFANYABIASHARA HOLELA DARAJANI

WANANCHI WAMGOMEA MKUU WA KITUO CHA POLISI DIWANI ACHARUKA MKUTANO WAVURUGIKA NA KUSAMBARATIKA
▶︎

WANANCHI WAMGOMEA MKUU WA KITUO CHA POLISI DIWANI ACHARUKA MKUTANO WAVURUGIKA NA KUSAMBARATIKA

DKT. MWINYI AIPONGEZA WIZARA YA ARDHI KWA KUIMARISHA USIMAMIZI WA ARDHI
▶︎

DKT. MWINYI AIPONGEZA WIZARA YA ARDHI KWA KUIMARISHA USIMAMIZI WA ARDHI

AHUKUMIWA MIAKA 20 - ALIYE MCHARANGA VISU MKE MWENZIE
▶︎

AHUKUMIWA MIAKA 20 - ALIYE MCHARANGA VISU MKE MWENZIE

MWAFAKA WAIVA ZANZIBAR,SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA (SUKI) MBIONI KUREJEA
▶︎

MWAFAKA WAIVA ZANZIBAR,SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA (SUKI) MBIONI KUREJEA

Pazito! AGIZO LA KATAMBI LAPASUA VICHWA | KIGOGO ATEMA NONDO NZITO
▶︎

Pazito! AGIZO LA KATAMBI LAPASUA VICHWA | KIGOGO ATEMA NONDO NZITO