Waziri Aweso amweka Benchi Boss wa DAWASA Akae Pembeni Kisa Uhaba wa Maji.

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amemtaka Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA), Kiunga Kingu, akae pembeni ya majukumu yake kwa muda, pia amemsimamisha kazi, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji Maji-DAWASA, Shaban Mkwanywe na kuanzia leo June 30,2024 ameiweka DAWASA chini ya uangalizi maalum wa Wizara ya Maji ili kuboresha utendaji wake kufuatia uzembe uliopelekea visima kukosa maji na kufanya Wakazi wa Dar es salaam kukosa maji. Aweso ametangaza uamuzi huo leo baada ya kufanya ziara ya kimkakati na ya kushtukiza katika Ofisi za DAWASA zilizopo Ubungo Dar es salaam ili kupata maelezo ya Watendaji ya sababu za Watu kukosa maji na baada ya kushindwa kuridhishwa na majibu aliamua kuzungukia matanki ya maji katika maeneo manne tofauti ikiwemo tanki la Ardhi UDSM na Kibamba huku akituma Timu nyingine kwenda kukagua matanki ya Kigamboni ambapo imebainika matanki kadhaa hayana maji huku mengine yakiwa na maji kidogo ukilinganisha na mahitaji ya Wananchi lakini Watendaji wa DAWASA wameshindwa kueleza sababu iliyopelekea uhaba huo wa maji. Aweso amesema “Mwanzoni kulipokuwa kunakosekana maji tulikuwa tunasema shida ni vyanzo vya maji vimekauka hakuna maji, TANESCO umeme hamna lakini leo vyanzo vyote vina maji, umeme upo, niambieni kwanini hatuna maji kwenye matanki?, kwanini Wananchi wanateseka, wanalalamika wanapiga kelele kwenye Serikali, niiombe Bodi kama CEO DAWASA hajaenda likizo kidogo akakae likizo kwanza atuachie nafasi yetu tutaisimamia wenyewe” Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo MEDIA COVERAGE 1.Goverment Events 2.Social Events 3.Documentary 4.Live Streaming 5.Zoom Meting 6.Photo & Videograph BUSINESS ADVERTISEMENT #Hotel #Appartiment #Restaurant #Supermakert #Hall #Sallon #New Business PTINTING 1.Banner 2.Sticker & Flyers 3.Brochures 4.Business Card 5.Graphics Design 6.Logo Design 7.Tshirt Printing Call Us 0716909567 0766909567 DODOMA

"TUNAMSIMAMISHA KAZI" AWESO ASHTUKIZA DAWASA, AZAMA CHINI YA TENKI KUKAGUA MAJI NA KUYABAINI HAYA
▶︎

"TUNAMSIMAMISHA KAZI" AWESO ASHTUKIZA DAWASA, AZAMA CHINI YA TENKI KUKAGUA MAJI NA KUYABAINI HAYA

''WEWE NISIKILIZE'' - WAZIRI AWESO AMBANANISHA MENEJA wa MAJI HADI AKAPATA KITETE - AMSIMAMISHA KAZI
▶︎

''WEWE NISIKILIZE'' - WAZIRI AWESO AMBANANISHA MENEJA wa MAJI HADI AKAPATA KITETE - AMSIMAMISHA KAZI

AWESO AMTUMBUA MENEJA WA DAWASA KIBAMBA, AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "WEWE TUNAONDOKA WOTE"
▶︎

AWESO AMTUMBUA MENEJA WA DAWASA KIBAMBA, AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "WEWE TUNAONDOKA WOTE"

AWESO AKASIRIKA VIBAYA, AMBANANISHA VIKALI AFISA UGAVI DAWASA - "KWANINI UMENIDANGANYA? WE NI NANI?"
▶︎

AWESO AKASIRIKA VIBAYA, AMBANANISHA VIKALI AFISA UGAVI DAWASA - "KWANINI UMENIDANGANYA? WE NI NANI?"

VUTA NI KUVUTE SAKATA LA MAJI MBEZI MSUMI, WANANCHI WAGOMEA MRADI WA BILION 18 WAZIRI ATOA AGIZO
▶︎

VUTA NI KUVUTE SAKATA LA MAJI MBEZI MSUMI, WANANCHI WAGOMEA MRADI WA BILION 18 WAZIRI ATOA AGIZO

AWESO ACHUKIZWA AMSIMAMISHA MENEJA DAWASA KINYEREZI "SIJAJA KUCHEZA WALA KUUZA SURA"
▶︎

AWESO ACHUKIZWA AMSIMAMISHA MENEJA DAWASA KINYEREZI "SIJAJA KUCHEZA WALA KUUZA SURA"

Neema za Dkt Samia  zatua tabora  Mjini
▶︎

Neema za Dkt Samia zatua tabora Mjini

DAWASA FULL SHANGWE | MISHAHARA YAONGEZWA KWA ASILIMIA 98% | MKURUGENZI ASEMA HII HAIJAWAHI KUTOKEA
▶︎

DAWASA FULL SHANGWE | MISHAHARA YAONGEZWA KWA ASILIMIA 98% | MKURUGENZI ASEMA HII HAIJAWAHI KUTOKEA

MZEE AANIKA MADUDU ya DAWASA MBELE ya WAZIRI AWESO - ''WANAKUHUJUMU - WATOE WOTE WALETE WAPYA''...
▶︎

MZEE AANIKA MADUDU ya DAWASA MBELE ya WAZIRI AWESO - ''WANAKUHUJUMU - WATOE WOTE WALETE WAPYA''...

WAZIRI AWESO AUWASHA MOTO DAWASA ASIKILIZA KERO ZA Maji KWA WANANCHI MAKONGO
▶︎

WAZIRI AWESO AUWASHA MOTO DAWASA ASIKILIZA KERO ZA Maji KWA WANANCHI MAKONGO

🛑LIVE: WAZIRI AWESO ANAUNGURUMA DAR ES SALAAM MUDA HUU, ANAWAWEKA KIKAANGONI WATUMISHI
▶︎

🛑LIVE: WAZIRI AWESO ANAUNGURUMA DAR ES SALAAM MUDA HUU, ANAWAWEKA KIKAANGONI WATUMISHI

KISA CHA KUHUZUNISHA CANADA //Sheikh Othman Maalim
▶︎

KISA CHA KUHUZUNISHA CANADA //Sheikh Othman Maalim

Dakika 25 za Waziri Aweso "Nikiwatazama wake zangu hawa roho yangu ya baridii"
▶︎

Dakika 25 za Waziri Aweso "Nikiwatazama wake zangu hawa roho yangu ya baridii"

Fireworks as Ruto gets angry in South Africa after was asked about Kenya, US Ebola deal!
▶︎

Fireworks as Ruto gets angry in South Africa after was asked about Kenya, US Ebola deal!

Waziri Aweso amsimamisha mama yake mzazi mbele ya Rais Samia
▶︎

Waziri Aweso amsimamisha mama yake mzazi mbele ya Rais Samia

Siku 100 za DAWASA wamekusanya Bilioni 10, vipi kuhusu uhakika wa maji?
▶︎

Siku 100 za DAWASA wamekusanya Bilioni 10, vipi kuhusu uhakika wa maji?

DAWASA YAFUNGUA DIRISHA LA MAUNGANISHO HUDUMA YA MAJI UBUNGO NA KINONDONI
▶︎

DAWASA YAFUNGUA DIRISHA LA MAUNGANISHO HUDUMA YA MAJI UBUNGO NA KINONDONI

HUU NDIO UKUMBI MKUBWA KULIKO YOTE DODOMA, URIYO HALL EXECUTIVE HALLS
▶︎

HUU NDIO UKUMBI MKUBWA KULIKO YOTE DODOMA, URIYO HALL EXECUTIVE HALLS

TIMELAPSE - Harvesting 1000 Luffa Gourds for Market | 3-Wheel Truck Full of Fresh Luffa
▶︎

TIMELAPSE - Harvesting 1000 Luffa Gourds for Market | 3-Wheel Truck Full of Fresh Luffa

KIVUMBI! WAZIRI AWESO AMTUMBUA MENEJA DAWASA KINYELEZI/AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "ANDAA VIFAA"
▶︎

KIVUMBI! WAZIRI AWESO AMTUMBUA MENEJA DAWASA KINYELEZI/AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "ANDAA VIFAA"