Watumishi waliohama Vituo vya kazi kabla ya miaka 3 kurejeshwa walikopangiwa
Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange, amesema Serikali itawarejesha Watumishi wa Idara ya Elimu na Afya ambao walihama bila utaratibu maalum kwenye vituo vya awali ikiwemo Vijijini, Dugange amesema Serikali inatambua suala hilo na tayari imeshapata majina ya baadhi ya Watumishi waliohama kutoka Ludewa na imeshaanza kuwarejesha katika Halmashauri walizokuwa wamepangiwa Katika Swali la msingi, Mbunge wa Mpanda Vijijini (CCM) Moshi Kakoso, alihoji utaratibu wa Watumishi wanaopangiwa maeneo ya Vijijini kuondoka ndani ya muda mfupi na hivyo kusababisha uhaba wa Watumishi katika maeneo hayo

▶︎
Uhamisho wa watumishi sasa kutolewa kila Robo Mwaka - Serikali

▶︎
KAMA WEWE NI MWALIMU NA UNATAKA UHAMISHO, UTARATIBU NI HUU, KATIBU WA CWT AZUNGUMZA..

▶︎
TAMISEMI LEO :TUMIENI MFUMO UHAMISHO WA WATUMISHI |UHAMISHO WA WALIMU 2024

▶︎
KATIBU MKUU UTUMISHI ATOA NENO KWA WANAOCHELEWA KUWAPOKEA WATUMISHI WAPYA

▶︎
Namna ya Kuomba Uhamisho au kubadilishana Vituo kupitia Mfumo wa utumishi wa PEPMIS au ESS

▶︎
MHE. NDEJEMBI AKEMEA TABIA YA WAAJIRI SERIKALINI KUFICHA BARUA ZA UHAMISHO WA WATUMISHI WA UMMA

▶︎
Fahamu haki ya likizo ya lazima na malipo yake kwa mwajiriwa

▶︎
WANAOKIUKA SHERIA ZA ARDHI WASHUGHULIKIWE KIJINAI- SIMBACHAWENE

▶︎
🔴#LIVE:PROF.ASSAD AIBUA MJADALA-NI KUHUSU UTAJILI WA WAZIRI-SPIKA ZUNGU AHOJI PESA HIZO-CHADEMA...

▶︎
Uhamisho/Uhakiki/Malimbikizo ya Mishahara kulipwa/Promosheni/Maafisa utumishi /CWT hongereni

▶︎
WATUMISHI WA UMMA LUDEWA WALIA NA UHAMISHO

▶︎
Waziri George Simbachawene Atumbua Jipu

▶︎
MBUNGE MAFUWE AIBUA KERO YA UCHELEWESHAJI WA UHAMISHO KWA WALIMU NA WATUMISHI

▶︎
TAARIFA KUTOKA TAMISEMI KWA WANAOBADILI VITUO VYA KAZI

▶︎
WATUMISHI WATAKIWA KUACHA TABIA YA KUOMBA UHAMISHO PINDI WANAPOAJIRIWA

▶︎
Serikali yawaonya wanaoghushi uhamisho

▶︎
Mwakagenda: Walimu Wasikilizwe I Serikali Inaleta Ugumu Kwenye Uhamisho

▶︎
MHE. SIMBACHAWENE AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUJIEPUSHA NA UHAMISHO USIOZINGATIA TARATIBU

▶︎
