Watumishi waliohama Vituo vya kazi kabla ya miaka 3 kurejeshwa walikopangiwa

Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange, amesema Serikali itawarejesha Watumishi wa Idara ya Elimu na Afya ambao walihama bila utaratibu maalum kwenye vituo vya awali ikiwemo Vijijini, Dugange amesema Serikali inatambua suala hilo na tayari imeshapata majina ya baadhi ya Watumishi waliohama kutoka Ludewa na imeshaanza kuwarejesha katika Halmashauri walizokuwa wamepangiwa Katika Swali la msingi, Mbunge wa Mpanda Vijijini (CCM) Moshi Kakoso, alihoji utaratibu wa Watumishi wanaopangiwa maeneo ya Vijijini kuondoka ndani ya muda mfupi na hivyo kusababisha uhaba wa Watumishi katika maeneo hayo

Uhamisho wa watumishi sasa kutolewa kila Robo Mwaka - Serikali
▶︎

Uhamisho wa watumishi sasa kutolewa kila Robo Mwaka - Serikali

KAMA WEWE NI MWALIMU NA UNATAKA UHAMISHO, UTARATIBU NI HUU, KATIBU WA CWT AZUNGUMZA..
▶︎

KAMA WEWE NI MWALIMU NA UNATAKA UHAMISHO, UTARATIBU NI HUU, KATIBU WA CWT AZUNGUMZA..

TAMISEMI LEO :TUMIENI MFUMO UHAMISHO WA WATUMISHI |UHAMISHO WA WALIMU 2024
▶︎

TAMISEMI LEO :TUMIENI MFUMO UHAMISHO WA WATUMISHI |UHAMISHO WA WALIMU 2024

KATIBU MKUU UTUMISHI ATOA NENO KWA WANAOCHELEWA KUWAPOKEA WATUMISHI WAPYA
▶︎

KATIBU MKUU UTUMISHI ATOA NENO KWA WANAOCHELEWA KUWAPOKEA WATUMISHI WAPYA

Namna ya Kuomba Uhamisho au kubadilishana Vituo kupitia Mfumo wa utumishi wa PEPMIS au ESS
▶︎

Namna ya Kuomba Uhamisho au kubadilishana Vituo kupitia Mfumo wa utumishi wa PEPMIS au ESS

MHE. NDEJEMBI AKEMEA TABIA YA WAAJIRI SERIKALINI KUFICHA BARUA ZA UHAMISHO WA WATUMISHI WA UMMA
▶︎

MHE. NDEJEMBI AKEMEA TABIA YA WAAJIRI SERIKALINI KUFICHA BARUA ZA UHAMISHO WA WATUMISHI WA UMMA

Fahamu haki ya likizo ya lazima na malipo yake kwa mwajiriwa
▶︎

Fahamu haki ya likizo ya lazima na malipo yake kwa mwajiriwa

WANAOKIUKA SHERIA ZA ARDHI WASHUGHULIKIWE KIJINAI- SIMBACHAWENE
▶︎

WANAOKIUKA SHERIA ZA ARDHI WASHUGHULIKIWE KIJINAI- SIMBACHAWENE

🔴#LIVE:PROF.ASSAD AIBUA MJADALA-NI KUHUSU UTAJILI WA WAZIRI-SPIKA ZUNGU AHOJI PESA HIZO-CHADEMA...
▶︎

🔴#LIVE:PROF.ASSAD AIBUA MJADALA-NI KUHUSU UTAJILI WA WAZIRI-SPIKA ZUNGU AHOJI PESA HIZO-CHADEMA...

Uhamisho/Uhakiki/Malimbikizo ya Mishahara kulipwa/Promosheni/Maafisa utumishi /CWT hongereni
▶︎

Uhamisho/Uhakiki/Malimbikizo ya Mishahara kulipwa/Promosheni/Maafisa utumishi /CWT hongereni

WATUMISHI  WA UMMA LUDEWA WALIA NA UHAMISHO
▶︎

WATUMISHI WA UMMA LUDEWA WALIA NA UHAMISHO

Waziri George Simbachawene Atumbua Jipu
▶︎

Waziri George Simbachawene Atumbua Jipu

MBUNGE MAFUWE AIBUA KERO YA UCHELEWESHAJI WA UHAMISHO KWA WALIMU NA WATUMISHI
▶︎

MBUNGE MAFUWE AIBUA KERO YA UCHELEWESHAJI WA UHAMISHO KWA WALIMU NA WATUMISHI

TAARIFA KUTOKA TAMISEMI KWA WANAOBADILI VITUO VYA KAZI
▶︎

TAARIFA KUTOKA TAMISEMI KWA WANAOBADILI VITUO VYA KAZI

WATUMISHI WATAKIWA KUACHA TABIA YA KUOMBA UHAMISHO PINDI WANAPOAJIRIWA
▶︎

WATUMISHI WATAKIWA KUACHA TABIA YA KUOMBA UHAMISHO PINDI WANAPOAJIRIWA

Serikali yawaonya wanaoghushi uhamisho
▶︎

Serikali yawaonya wanaoghushi uhamisho

Mwakagenda: Walimu Wasikilizwe I Serikali Inaleta Ugumu Kwenye Uhamisho
▶︎

Mwakagenda: Walimu Wasikilizwe I Serikali Inaleta Ugumu Kwenye Uhamisho

MHE. SIMBACHAWENE AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUJIEPUSHA NA UHAMISHO USIOZINGATIA TARATIBU
▶︎

MHE. SIMBACHAWENE AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUJIEPUSHA NA UHAMISHO USIOZINGATIA TARATIBU

WATUMISHI TUMIENI NAMBA YA CALL CENTER UTUMISHI  KUEPUKA GHARAMA ZA KUFUATILIA MASUALA YA KIUTUMISHI
▶︎

WATUMISHI TUMIENI NAMBA YA CALL CENTER UTUMISHI KUEPUKA GHARAMA ZA KUFUATILIA MASUALA YA KIUTUMISHI