064 - Mfano Wa Msamaria Mwema (Swahili)

Maandiko ya kumbukumbu: Luka 10: 25-37 Yesu anahadithia juu ya Msamaria kujibu swali la, "Ni nani jirani yangu?" Swali 1: Ingelikugharimu nini kuishi kama huyu Msamaria? Swali 2: Jirani yako ni nani? Taja watu rasmi na jinsi utakavyowatendea kama Yesu. Swali 3: Ni watu gani wenye mahitaji ambao kanisa haliwashughulikii? Tazama, pakua, au chapisha swali za majadiliano za Injili ya Kimataifa: https://drive.google.com/file/d/0B6kd...