JINSI YA KUJITAMBUA ILI MUNGU AKUTUMIE

kujitambua ni moja kati ya mambo muhimu sana katika utumishi wa Mungu.na kama usipojitambua mwenyewe mungu hawezi kukutumia katika utumishi .Kama unahitaji kufanya kazi ya MUNGU,lazima ujitambue kwanza fuatilia somo hili na mungu akubariki