Tabia 10 za Mtu Anaye Jitambua #1

Tabia 10 za Mtu Anaye Jitambua #1 Mtu anayejitambua ni yule anayeielewa nafsi yake, thamani yake, uwezo wake, na mipaka yake. Hapa chini ni baadhi ya tabia za mtu anayejitambua: 1. Ana uelewa wa hisia zake Anajua anachohisi, kwa nini anahisi hivyo, na anaweza kudhibiti hisia hizo kwa njia chanya. 2. Anajiamini bila kiburi Ana uhakika wa uwezo wake lakini haonyeshi majivuno au kudharau wengine. 3. Anakubali makosa na kujifunza kutoka kwayo Hatoroki lawama. Anakubali alikokosea na hujitahidi kubadilika. 4. Ana mipaka ya kimaadili na kijamii Anajua ni vitu gani haviendani na maadili yake na hatakubali kuvujiwa heshima au kunyimwa haki zake. 5. Ana hamu ya kujiendeleza yuko tayari kujifunza jambo jipya, hana hofu ya kukosolewa, hukubali mrejesho (feedback) kwa mtazamo wa kujijenga, si kujihisi kushushwa thamani. ‪@MajaliwaMachinda‬ ‪@Kujitambuamedia‬ ‪@YouTube‬ ‪@youtubepremieres-countdown14‬ ‪@joelnanauka‬ ‪@TheUnusualAfrican‬