EWURA CCC YATOA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA HUDUMA ZA MAJI NA NISHATI SABASABA

EWURA CCC YATOA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA HUDUMA ZA MAJI NA NISHATI SABASABA BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA CCC) limetumia Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi salama ya huduma za maji na nishati, huku likiwakumbusha haki na wajibu wao kama watumiaji wa huduma hizo. Akizungumza katika maonesho hayo, Afisa Uelimishaji na Uhamasishaji Mwandamizi wa EWURA CCC, Lugiko Lugiko, amesema watumiaji wa umeme wanapaswa kutumia mafundi wenye leseni, vifaa bora na kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa miundombinu ili kuongeza usalama. Amesema watumiaji wa maji wanapaswa kufuatilia matumizi yao kupitia mita na kubaini uvujaji wa maji unaoweza kuongeza bili, huku akiwataka watumiaji wa gesi na mafuta kuzingatia taratibu za usalama, kudai risiti na kutumia vituo vyenye leseni ,aidha, amewahimiza wananchi kuhamia matumizi ya nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi na umeme kwa kuwa ni salama, zinaokoa muda na gharama pamoja na kusaidia utunzaji wa mazingira.

TFF Yatangaza VS Kuchukua nafasi ya VAR msimu ujao, Raisi wa TFF, Wallace Karia aeleza Sababu.
▶︎

TFF Yatangaza VS Kuchukua nafasi ya VAR msimu ujao, Raisi wa TFF, Wallace Karia aeleza Sababu.

Friends turned foes: The split reshaping Senegal | Talk to Al Jazeera
▶︎

Friends turned foes: The split reshaping Senegal | Talk to Al Jazeera

BURUNDI : Au cœur d'un des secrets les mieux gardés d’Afrique | Destination Francophonie
▶︎

BURUNDI : Au cœur d'un des secrets les mieux gardés d’Afrique | Destination Francophonie

Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza
▶︎

Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza

PROF. MAPESA AFURAHISHWA NA WABUNIFU MNMA WANENA MAZITO KUHUSU FANI ZAO
▶︎

PROF. MAPESA AFURAHISHWA NA WABUNIFU MNMA WANENA MAZITO KUHUSU FANI ZAO

Rahby || Serikali ya Yemen yashambulia uwanja wa ndege wa Sanaa
▶︎

Rahby || Serikali ya Yemen yashambulia uwanja wa ndege wa Sanaa

ADFAX COMPANY: YATOA HUDUMA INAYOWASAIDIA WAFANYABIASHARA KUBORESHA BIASHARA ZAO
▶︎

ADFAX COMPANY: YATOA HUDUMA INAYOWASAIDIA WAFANYABIASHARA KUBORESHA BIASHARA ZAO

Mjadala Kuhusu Ubaguzi, Kujengeka kwa Itikadi Kali, na Misimamo Mikali nchini Tanza
▶︎

Mjadala Kuhusu Ubaguzi, Kujengeka kwa Itikadi Kali, na Misimamo Mikali nchini Tanza

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU
▶︎

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

TUKIO ZIMA:  KUVISHWA CHEO NA KUAPISHWA MNADHIMU MKUU WA JWTZ, IKULU
▶︎

TUKIO ZIMA: KUVISHWA CHEO NA KUAPISHWA MNADHIMU MKUU WA JWTZ, IKULU

Mbagathi Road BMW Crash: DNA Tests, Eyewitness Accounts & The Tragic Final Moments
▶︎

Mbagathi Road BMW Crash: DNA Tests, Eyewitness Accounts & The Tragic Final Moments

FAHAMU HISTORIA YA WAZIRI WA FEDHA NDANI YA BOT
▶︎

FAHAMU HISTORIA YA WAZIRI WA FEDHA NDANI YA BOT

PPRA: ELIMU YA  MFUMO WA NEXT VIJANA WATOA USHUHUDA KUNUFAIKA BILIONI 53 ZIMETOLEWA  MAKUNDI MAALUMU
▶︎

PPRA: ELIMU YA MFUMO WA NEXT VIJANA WATOA USHUHUDA KUNUFAIKA BILIONI 53 ZIMETOLEWA MAKUNDI MAALUMU

Le créole est-il une langue africaine ? La thèse choc de Jean-Luc Divialle
▶︎

Le créole est-il une langue africaine ? La thèse choc de Jean-Luc Divialle

Solar street lights transform lives in Kiambu
▶︎

Solar street lights transform lives in Kiambu

'If you go to china you'll never see the world the same way again' | Martin Jacques | UNAPOLOGETIC
▶︎

'If you go to china you'll never see the world the same way again' | Martin Jacques | UNAPOLOGETIC

🔴#Live:MAMA FATMA AIBIWA PESA YA NAULI! MASWALI MAGUMU KUHUSU AJENT,MKATABA NA HAKI ZA WAFANYAKAZI..
▶︎

🔴#Live:MAMA FATMA AIBIWA PESA YA NAULI! MASWALI MAGUMU KUHUSU AJENT,MKATABA NA HAKI ZA WAFANYAKAZI..

From Minnesota to Dandora dumpsite: The story of an American citizen abandoned in Kenya at just 13.
▶︎

From Minnesota to Dandora dumpsite: The story of an American citizen abandoned in Kenya at just 13.

JICA: YAWAHIMIZA WANAWAKE NCHINI TANZANIA KUGEUZA TAKA KUWA MALIGHAFI NA KUJIPATIA KIPATO
▶︎

JICA: YAWAHIMIZA WANAWAKE NCHINI TANZANIA KUGEUZA TAKA KUWA MALIGHAFI NA KUJIPATIA KIPATO

IBADA YA JUMAPILI 14 JUNE 2026
▶︎

IBADA YA JUMAPILI 14 JUNE 2026