KIMENUKA PEMBA MPASUKO ACT PEMBA WANACHAMA TAKRIBANI 2,439 ACT KUJIUNGA CCM
ACT KUJIUNGA NA CCM PEMBA Wanachama wa Chama cha Upinzani cha ACT Wazalendo Takribani 2,439 Kisiwani Pemba Wamekihama Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wanachama hao wamechukua Uamuzi huo leo tarehe 15 Februari 2025 katika Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Mgombea wa Urais wa Zanzibar DKt, Hussein Ali Mwinyi Uwanja wa Mauwani, Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba Wanachama hao walirudisha Kadi za Chama cha ACT na Kukabidhiwa Kadi za Uanachama za Chama Cha Mapinduzi. Miongoni mwa Wanachama hao yumo aliyekuwa Katibu wa ACT wa Mkoa na Mwenyeikiti wa ACT wa Mkoani Pemba Nd, Rashid Saleh Mohd pamoja na aliyewahi kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Chonga Kisiwani Humo Hijja Hassan Hijja. Wakizungumza katika Mkutano huo Viongozi hao wameleeza kuvutiwa na Sera na utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa mafanikio makubwa. Idadi hiyo ya Wanachama wa ACT waliokihama ni kubwa zaidi ambayo haijawahi kutokea tangu kuanzishwa Mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa mwaka 1992. Makamu Mwenyekiti Dkt, Hussein Ali Mwinyi aliongoza Kupokea kadi hizo na hatimae Wanachama hao Wapya wa CCM walivaa kwa mara ya Kwanza Sare za Chama Cha Mapinduzi Kiwanjani hapo.

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

Kikwete Aitwa Kuingilia Suala la Kumtangaza Rasmi Samia Mgombea CCM 2025, Atoa Msimamo: 'Wanakutaka'

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

SHEIKH OTHMAN KWA MZEE MWINYI - ''ASUBHI ITAFIKA - HATA KAMA UTAKUWA NA MIAKA 100 UTAKUFA TU'''

🔴 KAMPENI ZA URAIS, UBUNGE NA UDIWANI CHAMA CHA ACT WAZALENDO

KIMENUKA ZANZIBAR! ACT WAZALENDO YAPINGA KAULI ZA MAWAZIRI KUHUSU UZANZIBARI NA ZAN ID

KHUTBA NZITO YA DOKTA MWINYI KWENYE MAPOKEZI KIWANI MAUWANI PEMBA

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

KAHAMA KIMENUKA! HAPI AIBANA CHADEMA KWA FEDHA ZA NJE 🔥

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

MOTO JE, UNAMJUA NCHIMBI? SAFARI YA KIONGOZI MWENYE USHAWISHI MKUBWA CCM

Uchaguzi wa Oktoba 2025 utakuwa wa kipekee | GUMZO MAALUM | Omar Ali Shehe, Mohammed Ghassani

La Centrale de Mulembwe est inaugurée par le Premier Ministre, SE Nestor NTAHONTUYE

ACT WAFUNGUKA AJIRA ZA WAZANZIBAR, WATAKA VIJANA KUPEWA KIPAUMBELE! 🔥

✅ MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM, DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIWA KATIKA KAMPENI - PEMBA

HECHE AVUNJA REKODI TUNDUMA, NI BALAA, AITANDIKA SERIKALI YA CCM BILA HURUMA HADI UMEME UKAKATA

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI WA ZIMAMOTO KOZI NAMBA 6/2026

HUU NDIO MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE MPYA PEMBA

PEMBA 🏝️ Kisiwa ch Tanzania chenye Historia Nzito ya Afrika 🌍 🌿

