AJALI MBAYA: GARI LA TANESCO LABINUKIA KORONGONI, WAWILI WAFARIKI PAPO HAPO, 16 WAJERUHIWA VIBAYA..
AJALI MBAYA: GARI LA TANESCO LABINUKIA KORONGONI, WAWILI WAFARIKI PAPO HAPO, 16 WAJERUHIWA VIBAYA.. Watu wawilli ambao ni wafanyakazi wa Shirika la Umeme nchini Tanzania (Tanesco) wilayani Ileje mkoani Songwe wamefariki Dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari wakiwa katika shughuli za matengenezo ya umeme ambapo wengine 16 wamejeruhiwa vibaya. Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Anna Gidarya amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyotokea usiku wa kuamkia Novemba 2, 2022 huku akieleza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kufeli kwa breki za gari katika mteremko mkali uliopo Kijiji cha Shuba. Shida hiyo ndiyo iliyosababisha gari la shirika hilo lililokuwa na wafanyakazi 18 wa Tanesco kuacha njia na kutumbukia korongoni. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

République Démocratique du Congo c. Ouzbékistan à la Coupe du Monde de la FIFA 2026 ™ en 30 minutes!

SIMANZI! ASKARI WALIOFUNGA NDOA WAFARIKI NDANI ya SAA 72 kwa AJALI ya GARI IRINGA WAKITOKEA ARUSHA..

Where Is She?-Nakuru family's agony deepens as missing daughter Mary Njeri vanishes without a trace

SITA WAFARIKI KWENYE AJALI, LUSHOTO MKOANI TANGA, DEREVA ASIMULIA

JANITOR vs THE BIGGEST GUY IN THE GYM. HE Didn’t Expect THAT

AJALI ARUSHA: TOYO YAANGUSHA SCANIA YA MILIONI 120, DC MTANDA AFIKA KUTOA POLE..

Kolumbien - Portugal, Highlights mit Livekommentar | FIFA WM 2026 | MAGENTA TV

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

TANESCO Kagera ilivyowashukia wezi wa umeme

Ekskluzive/Flet gruaja 'e rrezikshme' pas 'non grata-s': Rama, a e ke pyetur veten nëse je shqiptar?

KIKONGWE AIBUA TAHARUKI ENEO LA AJALI UYOLE MBEYA

UNYAMA: MWALIMU AMUUA MKE NA WATOTO WAKE WAWILI KWA KUWACHARANGA MAPANGA NA YEYE AJIUA..

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

SIMANZI! WANANDOA WALIOFARIKI KWA AJALI YA KUGONGA KICHWA CHA TRENI WAZIKWA SINZA, NDUGU WASIMULIA

SIMANZI: MKE AFARIKI KWA AJALI MBAYA AKIMKIMBIZA MUMEWE AKIWA NA MCHEPUKO KWENYE GARI..

"JAMBAZI ALIYEUAWA DSM, ALIFYATUA RISASI JUU KUTISHIA POLISI, WAKAMPIGA" - KAMANDA KINGAI

E/HABARI JUNE 24 - MWANAUME ASIYEJULIKANA AKUTWA AMEJINYONGA KWA CHANDARUA MPANDA

ULITUKANA WAKALENJIN UKATUITA WAUWAJI, 2027 TUTAKUFUNZA DAWA!Aldai MP hits Gachagua below the belt

Ajali yaua watu sita Lushoto

