Ajali yaua watu sita Lushoto
Mkuu wa Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga, Kalisti Lazaro amesema watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari aina ya fuso walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kutumbukia kwenye korongo katika eneo la barabara ya Soni-Mombo wilayani humo. Kutokana na ajali hiyo ametoa wito kwa jeshi la polisi Lushoto kuhakikisha linafanya ukaguzi kwa magari yote yanayopita katika vizuizi vya mageti hasa nyakati za usiku ili kujua kilichomo ndani ya magari hayo.

▶︎
Simanzi!!!!....Handeni || Moto wateketeza watoto watatu

▶︎
SITA WAFARIKI KWENYE AJALI, LUSHOTO MKOANI TANGA, DEREVA ASIMULIA

▶︎
UTASHANGAZWA NA UTALII WA LUSHOTO, VIEW POINTS, MISITU WATERFALLS

▶︎
JANITOR vs THE BIGGEST GUY IN THE GYM. HE Didn’t Expect THAT

▶︎
HIZI NDIZO BARABARA HATARI ZAIDI, USIPOKUWA MAKINI UMEKWISHA, MOJA IPO SAME...

▶︎
Ruto heart attack as New DCP SG John Methu holds Mega Rally in Ol Kalou to sell DCP Candidate!🔥

▶︎
Citroën DS21 Pallas | Barn Find Rescue

▶︎
KIFO CHA BAKARI BASHIRU HASSAN MAKAU CHIZA VIJANA WA BODA BODA PAMOJA NA WANA LUSHOTO KWA JUMLA

▶︎
#AJALI MBAYA TANGA! FUSO LAGONGANA na SCANIA, WATATU WAFARIKI AKIWEMO MKENYA, KAMANDA ATHIBITISHA...

▶︎
Ua la kipekee Duniani linalopatikana Tanzania

▶︎
RAIS SAMIA ALIPAMBA JIMBO LA BUMBULI KWA LAMI, MAHARUSI WANAPIGIA PICHA, DC ASEMA HAIJAWAHI KUTOKEA!

▶︎
*MBUNGE SHEKILINDI AIBUA MAZITO, RC MGUMBA ATULIZA PRESHA ZA WANANCHI LUSHOTO,TANGA*

▶︎
NI HUZUNI KUBWA NA MAJONZI KWA WANANCHI WOTE WA LUSHOTO NA KOROGWE.

▶︎
KILIO AJALI YA MWENDOKASI YAUA, BODABODA WAMLILIA RAIS SAMIA WAWAVAA VIKALI MADEREVA DRT

▶︎
KERO YA UMEME MGWASHI ILIOPO KATA LUKOZI JIMBO LA MLALO WILAYA YA LUSHOTO MKOA WA TANGA YATATULIWA

▶︎
FAINALI YA LIGI YA BOSNIA MLOLA CUP YAFUNGWA NA MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO

▶︎
How US Air Force B 52 Pilot Performed an Emergency Takeoff at Full Speed

▶︎
30 Real Life Superheroes | Random Acts of Kindness That Will Make You Cry #8

▶︎
AUNTY EZEKIEL NA KUSAH TRIP YA BUMBULI & LUSHOTO//WAKUTANA NA ALLY//MAMA MKWE ANANIPENDA

▶︎
