UJUMBE: Kwa kanisa la Laodikia - (The church at Laodicea), Ufunuo 3:14-22 Mwl.Bryan #kanisa #church
Katika video hii nimeeleza kuhusu kanisa la laodikia lililo andikwa katika kitabu cha ufunuo wa Yohana 3:14-22 Ujumbe wa yesu Kristo kwa makanisa Saba Seven churches . • • MAKANISA SABA (7): Utangulizi kuhusu Makan... 1. Kanisa la Efeso • • UJUMBE: Kwa Kanisa la Efeso - (Ephesus chu... 2. Kanisa la smirna • • UJUMBE: kwa Kanisa la Smirna - ( The churc... 3. Kanisa la pergamo. • UJUMBE: Kwa kanisa la Pergamo- (The church... 4. Kanisa la Filadefia. • UJUMBE: Kwa kanisa la Filadefia - (The chu... 5. Kanisa la Sardi. • UJUMBE: Kwa kanisa la Sardi - (The church ... 6. kanisa la Filadefia. • UJUMBE: Kwa kanisa la Filadefia - (The chu... 7. kanisa la Laodikia. • UJUMBE: Kwa kanisa la Laodikia - (The chur... Ufunuo wa Yohana 3:14-22 14 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu. 15 Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. 16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu. 17 Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na uchi. 18 Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona. 19 Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu. 20 Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami. 21 Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi. 22 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. #rapture #nenolamungu #endtimes #lastdayonearth #nenolamungu #holyspirit #rohomtakatifu #unyakuo #africa #trending #september #2025 #faith #iman

Jukumu la kusanyiko katika siku kuu ya upatanisho sehemu ya pili

UFUNUO, IDADI YA WATU WATAKAO INGIA MBINGUNI #heaven

KIPINDI CHA 7 LA KANISA LA LAODIKIA

تلاوة القرآن للدراسة والتركيز 📚🕛 | راحة وطمأنينة | Peaceful Focus Quran | محمد هشام

HEKIMA NI NINI??

SIKU YA 16: UFUNUO KATIKA YESU KRISTO KUINGIA YERUSALEMU. Mwl.Bryan #revealjesus

Maana ya Jina lako katika ulimwengu wa Roho. Mwl.Bryan #identityinchrist #name

YEZEBELI MWANAMKE KATILI NA MCHAWI

NITAMJUAJE MUHUBIRI WA UONGO.? Mwl.Bryan

🔴Jesus Has an Urgent Message for You Today | God Message For You Today | God Says Today

SIKU YA 24: KAULI ya YESU IMEKWISHA. Yohana 19:28-30. Mwl.Bryan #revealjesus

JINSI YA KUTEMBEA NA ROHO MTAKATIFU - PASTOR JOSEPH - EIC TV

Je UMEWAHI KUSOMA BIBLIA YOTE ⁉️. KARIBU MWAKA 2026 TUISOME. Mwl.Bryan #ibadahonline #biblia #2026

KWICA ITEGEKO RYA 6 N'IRYA 4, NIBYO BYABAYE IMPAMVU YO GUCIKAMO KABIRI MU ITORERO RY'BADIVANTISITI

KUOTA UNAOMBA USINGIZINI, PART 1SUBSCRIBE ,

248 DIOS TE DICE HOY: NADA ES IMPOSIBLE PARA MÍ | CONFÍA EN DIOS

SIKU YA 19: je BADO FAHARI na VITU vya Duniani viko MKONONI Mwa SHETANi ⁉️. Bryan #revealjesus

WARAKA WA KWANZA WA YOHANA SEHEMU YA TATU

Pr. Almodad Amos - Bethsaida #Bethsaida #mahubiri #InjiliMilele

