SIKU YA 24: KAULI ya YESU IMEKWISHA. Yohana 19:28-30. Mwl.Bryan #revealjesus

Katika video hii nimeeleza kuhusu SIKU YA 24: KAULI ya YESU IMEKWISHA. Yohana 19:28-30 28 Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu. 29 Kulikuwako huko chombo kimejaa siki; basi wakatia sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakampelekea kinywani. 30 Basi Yesu alipokwisha kuipokea ile siki, alisema, Imekwisha. Akainama kichwa, akaisalimu roho yake. Mathayo 27:50-54 50 Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake. 51 Na tazama, pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hata chini; nchi ikatetemeka; miamba ikapasuka; 52 makaburi yakafunuka; ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala; 53 nao wakiisha kutoka makaburini mwao, baada ya kufufuka kwake, wakauingia mji mtakatifu, wakawatokea wengi. 54 Basi yule akida, na hao waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoliona tetemeko la nchi na mambo yaliyofanyika, wakaogopa sana, wakisema, Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu. UTANGULIZI:    • SIKU 26 za Kutembea katika njia ya YESU. K...   Siku ya 1: Mwanamke mzinzi    • SIKU 1: Fundisho la YESU Juu ya mwanamke a...   Siku ya 2: Msamaria Mwema    • SIKU YA 2: Fundisho la YESU juu ya "MSAMAR...   Siku ya 3: wakoma 10.    • SIKU YA 3: YESU na UTAKASO WA WAKOMA KUMI ...   Siku ya 4: ukuhani.    • SIKU YA 4: YESU ndiye KUHANI/ wewe ndiwe k...   Siku ya 5 : vazi la Kuhani mkuu.    • SIKU YA 5: Kuchanika kwa VAZI La KUHANI MK...   Siku ya 6: Torah, Amri na sheria.    • SIKU YA 6: Fundisho la YESU KRISTO kuhusu ...   Siku ya 7: kuombea Adui.    • SIKU YA 7:  Fundisho la YESU KRISTO Kuhusu...   Siku ya 8: Msamaha.    • SIKU YA 8: FUNDISHO  La YESU JUU YA MSAMAH...   siku ya 9: Sabato.    • SIKU YA 9: FUNDISHO La YESU KRISTO JUU YA ...   Siku ya 10: Mtu Hataishi kwa mkate tu.    • SIKU YA 10; YESU na JARIBU "KUHUSU MWANADA...   Siku ya 11: mwanamke aliyekuwa na ugonjwa wa kutoka damu miaka 12.    • SIKU YA 11; UPONYAJI KWA MWANAMKE ALIYE TO...   Siku ya 12: mitume 12.    • SIKU YA 12:  KUITWA KWA MITUME KUMI na Mbi...   Siku ya 13: siri ya Mungu.    • SIKU YA 13: FUNDISHO LA YESU KUHUSU SIRI Y...   Siku ya 14: Biblia na maandiko.    • Siku ya 14: FUNDISHO LA YESU JUU YA USOMAJ...   Siku ya 15: kugeuka Sura kwa Yesu.    • SIKU YA 15: FUNZO KATIKA KUBADILIKA SURA  ...   Siku ya 16: kuingia Kwa Yesu Yerusalemu.    • SIKU YA 16: UFUNUO KATIKA YESU KRISTO KUIN...   Siku ya 17: chembe ya ngano.    • SIKU YA 17: FUNDISHO la YESU JUU YA CHEMBE...   Siku ya 18: Zawadi za Mamajusi.    • SIKU YA 18:  ZAWADI TATU(3) ZA MAMAJUSI WA...   Siku ya 19: Who own the Earth.    • SIKU YA 19: je BADO FAHARI na VITU vya Dun...   Siku ya 25: Mauti ya Msalaba.    • SIKU YA 25: KIFO CHA MSALABA (AMELAANIWA K...   Siku ya 24: imekwisha    • SIKU YA 24: KAULI ya YESU IMEKWISHA. Yohan...   #2026 #revelation #reveal #yesu #torah #oldtestament #gospel #injili #mafundisho #tanzania #kenya #drcongo #congo #africa #april #march #pasaka #mfungo #maombezi #maombi #pasaka #pasaka

SIKU YA 19: je BADO FAHARI na VITU vya Duniani viko MKONONI Mwa SHETANi ⁉️. Bryan #revealjesus
▶︎

SIKU YA 19: je BADO FAHARI na VITU vya Duniani viko MKONONI Mwa SHETANi ⁉️. Bryan #revealjesus

NITAMJUAJE MUHUBIRI WA UONGO.? Mwl.Bryan
▶︎

NITAMJUAJE MUHUBIRI WA UONGO.? Mwl.Bryan

Maana ya Jina lako katika ulimwengu wa Roho. Mwl.Bryan #identityinchrist #name
▶︎

Maana ya Jina lako katika ulimwengu wa Roho. Mwl.Bryan #identityinchrist #name

How Did DANIEL See the Strait of HORMUZ 2,500 Years Ago?
▶︎

How Did DANIEL See the Strait of HORMUZ 2,500 Years Ago?

UFUNUO, IDADI YA WATU WATAKAO INGIA MBINGUNI #heaven
▶︎

UFUNUO, IDADI YA WATU WATAKAO INGIA MBINGUNI #heaven

1 Hours Powerful Swahili Worship & Prayer Songs 🙏 Cry Out to God | Healing, Help & Deliverance Songs
▶︎

1 Hours Powerful Swahili Worship & Prayer Songs 🙏 Cry Out to God | Healing, Help & Deliverance Songs

What Happened to Pastor Pius Muiru?
▶︎

What Happened to Pastor Pius Muiru?

UKIIJUA SIRI HII KUHUSU MIKOPO | HUTAKAA UKOPE | Pr.David Mmbaga |
▶︎

UKIIJUA SIRI HII KUHUSU MIKOPO | HUTAKAA UKOPE | Pr.David Mmbaga |

What Mel Gibson Found in the Ethiopian Bible Reveals Shocking Truth About Jesus!
▶︎

What Mel Gibson Found in the Ethiopian Bible Reveals Shocking Truth About Jesus!

SIKU YA 15: FUNZO KATIKA KUBADILIKA SURA  na MAVAZI  YESU . (Musa na  Eliya)  Mwl.Bryan #revealjesus
▶︎

SIKU YA 15: FUNZO KATIKA KUBADILIKA SURA na MAVAZI YESU . (Musa na Eliya) Mwl.Bryan #revealjesus

SIKU YA 16: UFUNUO KATIKA YESU KRISTO KUINGIA YERUSALEMU. Mwl.Bryan #revealjesus
▶︎

SIKU YA 16: UFUNUO KATIKA YESU KRISTO KUINGIA YERUSALEMU. Mwl.Bryan #revealjesus

🔴እግዚአብሔር በጊዜው ይሰራል  | YOU ARE NOT FORGOTTEN - PROPHET TILAHUN TSEGAYE #jesus #protestantreformation
▶︎

🔴እግዚአብሔር በጊዜው ይሰራል | YOU ARE NOT FORGOTTEN - PROPHET TILAHUN TSEGAYE #jesus #protestantreformation

TENZI ZA ROHONI - DEEP RELAX SWAHILI WORSHIP SONGS
▶︎

TENZI ZA ROHONI - DEEP RELAX SWAHILI WORSHIP SONGS

HOW MANY PEOPLE WILL BE IN HEAVEN ? #endoftime
▶︎

HOW MANY PEOPLE WILL BE IN HEAVEN ? #endoftime

Je kuna vitabu ambavyo havipo kwenye Biblia.? Mwl.Bryan #revealjesus
▶︎

Je kuna vitabu ambavyo havipo kwenye Biblia.? Mwl.Bryan #revealjesus

THE BIG SHAME!! RUTO GUCHONORITHIO | Apostle Ndura Waruinge | Bethel Clouds TV
▶︎

THE BIG SHAME!! RUTO GUCHONORITHIO | Apostle Ndura Waruinge | Bethel Clouds TV

KWIYEZA vs KWEZWA: Ese Koko Kwiyeza Bibaho? Ni Byo Kwezwa? Bibiliya Ibivugaho Iki?
▶︎

KWIYEZA vs KWEZWA: Ese Koko Kwiyeza Bibaho? Ni Byo Kwezwa? Bibiliya Ibivugaho Iki?

SIKU YA 17: FUNDISHO la YESU JUU YA CHEMBE YA NGANO KUANGUKQ na KUFA Mwl.Bryan #revealjesus
▶︎

SIKU YA 17: FUNDISHO la YESU JUU YA CHEMBE YA NGANO KUANGUKQ na KUFA Mwl.Bryan #revealjesus

The Life of Jesus Like You’ve Never Seen Before
▶︎

The Life of Jesus Like You’ve Never Seen Before

Siku ya 14: FUNDISHO LA YESU JUU YA USOMAJI WA MAANDIKO (BIBLIA).  Mwl.Bryan #revealjesus
▶︎

Siku ya 14: FUNDISHO LA YESU JUU YA USOMAJI WA MAANDIKO (BIBLIA). Mwl.Bryan #revealjesus