WAZIRI KITWANA AFUNGA MAFUNZO MKUPUO 22/2026

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amewataka wahitimu kuyatumia vyema mafunzo waliopatiwa ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya uongozi mkubwa na mdogo (High and low division) mkupuo wa 22 mwaka 2026 ghafla iliyofanyika katika viwanja vya chuo cha Kikosi Maalum Cha Kuzuia Magendo KMKM Kama wilaya ya magharib A. Waziri Kitwana amesema ipo haja ya wahitimu hao kuhakikisha mipaka ya Bahari inaendelea kulindwa na kubaki salama kwa kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani baharini pamoja na makosa yanayofanyika. Nae Mkuu wa Kikosi cha KMKM Commodore Azana Hassan Msingiri amesema niwajibu kwa wahitimu hao kuwa watiifu kwa viongozi wao kuimarisha nidhamu ya kazi uwajibikaji na kujiamini katika utendaji wa kazi zao. Mkuu wa Chuo CDR. Abdullah Mfamau amesema wahitimu hao wamefaulu vizuri masomo yao hivyo wapo tayari kulitumikia taifa. 📆 21 Mei, 2026 📍 KMKM Kama, Zanzibar. See less

HOTUBA YA BAJETI YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027
▶︎

HOTUBA YA BAJETI YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 30.06.2026 | Mchana | Swahili Habari leo | Podcast
▶︎

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 30.06.2026 | Mchana | Swahili Habari leo | Podcast

MHE. IDRISSA KITWANA AKIFUNGA MAFUNZO YA VIJANA WA KUJENGA TAIFA
▶︎

MHE. IDRISSA KITWANA AKIFUNGA MAFUNZO YA VIJANA WA KUJENGA TAIFA

LIVE: Macron greets Thailand’s king and queen during state visit to France
▶︎

LIVE: Macron greets Thailand’s king and queen during state visit to France

A strong country with a solid foundation must have security — Kagame
▶︎

A strong country with a solid foundation must have security — Kagame

Gen Museveni showcases his rare Karate skills he learnt back in the day to New Police Officer.
▶︎

Gen Museveni showcases his rare Karate skills he learnt back in the day to New Police Officer.

WAZIRI KITWANA KUKABIDHIWA RASMI TAWALA ZA MIKOA
▶︎

WAZIRI KITWANA KUKABIDHIWA RASMI TAWALA ZA MIKOA

Dutemberane mu Ishuri rya Gisirikare rya Gako | Wiga Kaminuza,ukahakura n'ubumenyi mu bya Gisirikare
▶︎

Dutemberane mu Ishuri rya Gisirikare rya Gako | Wiga Kaminuza,ukahakura n'ubumenyi mu bya Gisirikare

ULITUKANA WAKALENJIN UKATUITA WAUWAJI, 2027 TUTAKUFUNZA DAWA!Aldai MP hits Gachagua below the belt
▶︎

ULITUKANA WAKALENJIN UKATUITA WAUWAJI, 2027 TUTAKUFUNZA DAWA!Aldai MP hits Gachagua below the belt

RDF Infantry Brigade completed advanced training at Combat Training Centre in Gabiro
▶︎

RDF Infantry Brigade completed advanced training at Combat Training Centre in Gabiro

ZAECA ZANZIBAR WASHAURIWA KUA NA KAULI ZA HESHIMA KWA VIONGOZI AFISA ELIMU AFAFANUA
▶︎

ZAECA ZANZIBAR WASHAURIWA KUA NA KAULI ZA HESHIMA KWA VIONGOZI AFISA ELIMU AFAFANUA

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura
▶︎

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

MAKALA YA MABORESHO YA BANDARI YA MALINDI
▶︎

MAKALA YA MABORESHO YA BANDARI YA MALINDI

Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB
▶︎

Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB

''ZANZIBAR IPEWE NAFASI'' MBUNGE KING ashusha PONTI kuhusu MUUNGANO
▶︎

''ZANZIBAR IPEWE NAFASI'' MBUNGE KING ashusha PONTI kuhusu MUUNGANO

SABRA MACHANO: Nilifukuzwa kazi ZSSF kisa natembea na RAIS
▶︎

SABRA MACHANO: Nilifukuzwa kazi ZSSF kisa natembea na RAIS

Standard Media responds to President Ruto's blackmail claims
▶︎

Standard Media responds to President Ruto's blackmail claims

WAZIRI KATAMBI KUBURUZWA KORTINI, WADAU WAZIDI KUMJIA JUU
▶︎

WAZIRI KATAMBI KUBURUZWA KORTINI, WADAU WAZIDI KUMJIA JUU

IHERE IJISHO AKARASISI K'ABANA BATO  | BATOJWE NA POLICE GUKORA AKARASISI
▶︎

IHERE IJISHO AKARASISI K'ABANA BATO | BATOJWE NA POLICE GUKORA AKARASISI

MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KUKUSANYA TAARIFA ZA VIZAZI NA VIFO
▶︎

MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KUKUSANYA TAARIFA ZA VIZAZI NA VIFO