THE MATURITY OF A BELIEVER: PATIENT& FAITH.

991070, ac 2A NYALI WEST. SPECIAL SEED 4141407 A/C NYALI WEST. CONTACT +254706273884. Hebrews 6:9,11-15 [9]But, beloved, we are persuaded better things of you, and things that accompany salvation, though we thus speak. Lakini, wapenzi, ijapokuwa twanena hayo, katika habari zenu tumesadiki mambo yaliyo mazuri zaidi, na yaliyo na wokovu. [11]And we desire that every one of you do shew the same diligence to the full assurance of hope unto the end: Nasi twataka sana kila mmoja wenu aidhihirishe bidii ile ile, kwa utimilifu wa matumaini hata mwisho; [12]That ye be not slothful, but followers of them who through faith and patience inherit the promises. ili msiwe wavivu, bali mkawe wafuasi wa hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu. Uhakika wa Ahadi ya Mungu [13]For when God made promise to Abraham, because he could swear by no greater, he sware by himself, Kwa maana Mungu, alipompa Ibrahimu ahadi, kwa sababu alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa kumwapa, aliapa kwa nafsi yake, [14]Saying, Surely blessing I will bless thee, and multiplying I will multiply thee. akisema, Hakika yangu kubariki nitakubariki, na kuongeza nitakuongeza. [15]And so, after he had patiently endured, he obtained the promise. Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.