SIKU 767 za MSOTO wa SABAYA JELA - VILIO, UGONJWA, MKEWE, AAMBIWA USITENDE KOSA la JINAI TENA...
SIKU 767 za MSOTO wa SABAYA JELA - VILIO, UGONJWA, MKEWE, AAMBIWA USITENDE KOSA la JINAI TENA... Aprili 05, 2023 itakuwa ni siku ya ukombozi yenye kumbukumbu muhimu kwa Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya. Hii ni baada ya kuachiwa huru baada ya kusota jela na mahabusi za Magereza ya Kisongo jijini Arusha na Karanga mjini Moshi yapata siku 767 za vilio, kuumwa na mateso ya kila aina. Sabaya ameachiwa huru baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Moshi kupitia Kifungu cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai namba 91 kifungu cha 1A, kesi yake ya Uhujumu Uchumi ya mwaka 2022 kisha kuifanyia kesi hiyo mabadiliko! ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..

SABAYA AKIMFUTA MACHOZI MAMA YAKE na KUWAAGA WAFUNGWA, MAHABUSU na MAMA ALIYEKUWA AKIMPIKIA CHAKULA

DC SABAYA 'Amsweka' NDANI Jamaa ALIYEMDANGANYA na KUWATAPELI WALIMU HAI...

EXCLUSIVE: KIJANA ALIYEKUWA GEREZANI NA SABAYA ASIMULIA TUSIYOYAJUA

DC SABAYA Amtoa JASHO Injinia, CHUPUCHUPU Amsweke NDANI - "OCS KAMA HUYU"

#PART3: JINSI POLISI WALIVYOHUKUMIWA KUNYONGWA kwa KUMUUA MFANYABIASHARA wa MADINI MTWARA...

SABAYA ACHANGANYIKIWA NA MASWALI MAHAKAMANI/ AKIRI KUMILIKI SILAHA

UNAYOTAKIWA KUJUA KUHUSU LENGAI OLE SABAYA; KUTOKA UVCCM, U-DC MPAKA JELA

ALIYEKUWA ASKARI WA JWTZ ASIMULIA ALIVYOFUNGWA JELA MIAKA 9 KWA KUSINGIZIWA TUKIO LA UJAMBAZI UBUNGO

SABAYA:HAI WAMEMKOMESHA MBOWE | KIGENGE CHA HECHE, MSIGWA KUNICHAFUA | UKIZINGUA NAJIBU KWA KUZINGUA

FULL VIDEO: SABAYA ALIVYOACHIWA NAKUPANDA NOAH, KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA NJE "MAMA ALIA".

Maandamano Kenya kupinga kituo cha Ebola, katika Dira ya Dunia TV

DC Sabaya alivyoondoka na waliokula MILIONI 126 "mmekula mafichoni"

KAULI YA KWANZA YA MKE WA SABAYA (JESCA) BAADA YA MUMEWE KUACHIWA HURU

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

YUKO WAPI PAUL MAKONDA? MTETEZI wa 'SINGLE MOTHERS', WENYEWE WANASEMA – “WE MISS YOU”…

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

SABAYA ALIVYOBANWA MASWALI NA MAWAKILI WA SERIKALI, AKATAA KUSHITAKIWA NA JAMHURI YA TANZANIA..

DC Sabaya awasha moto aagiza Mkurugenzi akamatwe kwa ubadhirifu wa Milioni 700

