IRAN YAAPA KUIADHIBU VIKALI UKRAINE BAADA YA KULIPUA MELI YAKE - YATANGAZA KISASI NA MAJIBU MAKALI

IRAN YAAPA KUIADHIBU VIKALI UKRAINE BAADA YA KULIPUA MELI YAKE - YATANGAZA KISASI NA MAJIBU MAKALI @ONESMO SANGALALI - DAR CC; IDRISA ABDEREMANI Iran imeonya kuwa shambulio la Ukraine dhidi ya meli ya kibiashara ya Iran katika Bahari ya Kaspia halitapita bila jibu, huku Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, akisisitiza kuwa Tehran itaendelea kulinda maslahi yake ya kitaifa na kwamba wale waliohusika na tukio hilo watawajibishwa. Kauli hiyo imeongeza mvutano kati ya Tehran na Kyiv katika kipindi ambacho vita vya Ukraine vinaendelea kuathiri uhusiano wa mataifa mbalimbali duniani. ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!   ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx