Mashujaa 10 Wasiotajwa: #4 Mufti Hassan bin Ameir

Alikuwa ulamaa mkubwa na msambazaji dini aliyefanikiwa kwao Zanzibar, lakini akaamuwa kuhamia Tanganyika kwa ajili ya kuendeleza kazi hiyo ya Muumba. Akatambuliwa, kuthaminiwa na kuaminiwa hadi akawa Mufti Mkuu wa Tanganyika nzima, akaungana na Watanganyika kuasisi na kukitetea chama cha ukombozi cha TANU kwa nguvu zake zote. Baada ya uhuru wa 1961, akafukuzwa kwa hizaya na kurejeshwa kwao Zanzibar, na kupigwa marufuku kuikanyaga tena ardhi ya Tanganyika kwa amri ya Mwalimu Julius Nyerere. Jina lake ni Mufti Hassan bin Ameir Al Shirazy.

VTS 01 2
▶︎

VTS 01 2

Usiyoyajua kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar - Uchambuzi wa Tundu Lissu na Mohamed Said- Part 1
▶︎

Usiyoyajua kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar - Uchambuzi wa Tundu Lissu na Mohamed Said- Part 1

Huyu ndio Sheikh Hassan Bin Ameir Baba wa Waislamu Tanzania
▶︎

Huyu ndio Sheikh Hassan Bin Ameir Baba wa Waislamu Tanzania

TUFUNUWE KITABU (SILSILA 12): Revolution in Zanzibar cha John Okello
▶︎

TUFUNUWE KITABU (SILSILA 12): Revolution in Zanzibar cha John Okello

Wajuwe Mwalimu Nyerere na Kambona walivyokuwa katika Historia ya Tanganyika
▶︎

Wajuwe Mwalimu Nyerere na Kambona walivyokuwa katika Historia ya Tanganyika

Kwaheri Sayyid Jamshid: Siku na nyakati za mfalme wa mwisho wa Zanzibar | GUMZO MAALUM
▶︎

Kwaheri Sayyid Jamshid: Siku na nyakati za mfalme wa mwisho wa Zanzibar | GUMZO MAALUM

KISA CHA NABII NUH //Sheikh Othman Maalim
▶︎

KISA CHA NABII NUH //Sheikh Othman Maalim

Mashujaa 10 Wasiotajwa: #1 - Kleist Sykes
▶︎

Mashujaa 10 Wasiotajwa: #1 - Kleist Sykes

KISA CHA NABII MUSSA NA FIRAUNI | SHEIKH MSELEM BIN ALY
▶︎

KISA CHA NABII MUSSA NA FIRAUNI | SHEIKH MSELEM BIN ALY

''ALIPIGWA RISASI MBELE YETU'':ASIMULIA USIKU WA MAPINDUZI YA ZANZIBAR/INATISHA,S01EP35.
▶︎

''ALIPIGWA RISASI MBELE YETU'':ASIMULIA USIKU WA MAPINDUZI YA ZANZIBAR/INATISHA,S01EP35.

VTS 01 3
▶︎

VTS 01 3

Simulizi za Sheikh Thabit Kombo Jecha: Jeshi la Tanganyika linapoandika historia ya Zanzibar
▶︎

Simulizi za Sheikh Thabit Kombo Jecha: Jeshi la Tanganyika linapoandika historia ya Zanzibar

KILICHOMPATA KANALI ALI MAHFOUDH NA KUFUKUZWA NCHINI-MAELEZO YA MKEWE BI. NAILA JIDDAWI
▶︎

KILICHOMPATA KANALI ALI MAHFOUDH NA KUFUKUZWA NCHINI-MAELEZO YA MKEWE BI. NAILA JIDDAWI

Mbinu walizotumia wazee wa Kiislamu Kumlinda Nyerere dhidi ya Maadui
▶︎

Mbinu walizotumia wazee wa Kiislamu Kumlinda Nyerere dhidi ya Maadui

KISA CHA NABII SULEIMAN BIN DAUD (A.S) | Tajiri Kuliko Watu Wote Duniani Sheikh Othman Maalim #king
▶︎

KISA CHA NABII SULEIMAN BIN DAUD (A.S) | Tajiri Kuliko Watu Wote Duniani Sheikh Othman Maalim #king

HISTORIA YA TANGANYIKA PRT 1 || MZEE BILAL WAIKELA MWAHISTORIA  ALIYE SAHAULIKA ||TUNU YA TANGANYIKA
▶︎

HISTORIA YA TANGANYIKA PRT 1 || MZEE BILAL WAIKELA MWAHISTORIA ALIYE SAHAULIKA ||TUNU YA TANGANYIKA

Kabla Ya Kuumbwa Dunia – Siri Kubwa Za Mwanzo Wa Uumbaji | NUJABAA TV | Sheikh Othman Maalim
▶︎

Kabla Ya Kuumbwa Dunia – Siri Kubwa Za Mwanzo Wa Uumbaji | NUJABAA TV | Sheikh Othman Maalim

Athari za Utawala wa U'Sultan wa Zanzibar kwenye Mwambao wa Pwani ya Kenya-Makala ya Kwanza.
▶︎

Athari za Utawala wa U'Sultan wa Zanzibar kwenye Mwambao wa Pwani ya Kenya-Makala ya Kwanza.

TUFUNUWE KITABU (SILSILA 2): Mafunzo kutoka The Partner-ship cha Mzee Jumbe
▶︎

TUFUNUWE KITABU (SILSILA 2): Mafunzo kutoka The Partner-ship cha Mzee Jumbe

Waarabu si wageni wala Wabantu si wenyeji Mwambao wa Afrika Mashariki  - Profesa Ibrahim Noor Sharif
▶︎

Waarabu si wageni wala Wabantu si wenyeji Mwambao wa Afrika Mashariki - Profesa Ibrahim Noor Sharif