Mashujaa 10 Wasiotajwa: #4 Mufti Hassan bin Ameir
Alikuwa ulamaa mkubwa na msambazaji dini aliyefanikiwa kwao Zanzibar, lakini akaamuwa kuhamia Tanganyika kwa ajili ya kuendeleza kazi hiyo ya Muumba. Akatambuliwa, kuthaminiwa na kuaminiwa hadi akawa Mufti Mkuu wa Tanganyika nzima, akaungana na Watanganyika kuasisi na kukitetea chama cha ukombozi cha TANU kwa nguvu zake zote. Baada ya uhuru wa 1961, akafukuzwa kwa hizaya na kurejeshwa kwao Zanzibar, na kupigwa marufuku kuikanyaga tena ardhi ya Tanganyika kwa amri ya Mwalimu Julius Nyerere. Jina lake ni Mufti Hassan bin Ameir Al Shirazy.

▶︎
VTS 01 2

▶︎
Usiyoyajua kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar - Uchambuzi wa Tundu Lissu na Mohamed Said- Part 1

▶︎
Huyu ndio Sheikh Hassan Bin Ameir Baba wa Waislamu Tanzania

▶︎
TUFUNUWE KITABU (SILSILA 12): Revolution in Zanzibar cha John Okello

▶︎
Wajuwe Mwalimu Nyerere na Kambona walivyokuwa katika Historia ya Tanganyika

▶︎
Kwaheri Sayyid Jamshid: Siku na nyakati za mfalme wa mwisho wa Zanzibar | GUMZO MAALUM

▶︎
KISA CHA NABII NUH //Sheikh Othman Maalim

▶︎
Mashujaa 10 Wasiotajwa: #1 - Kleist Sykes

▶︎
KISA CHA NABII MUSSA NA FIRAUNI | SHEIKH MSELEM BIN ALY

▶︎
''ALIPIGWA RISASI MBELE YETU'':ASIMULIA USIKU WA MAPINDUZI YA ZANZIBAR/INATISHA,S01EP35.

▶︎
VTS 01 3

▶︎
Simulizi za Sheikh Thabit Kombo Jecha: Jeshi la Tanganyika linapoandika historia ya Zanzibar

▶︎
KILICHOMPATA KANALI ALI MAHFOUDH NA KUFUKUZWA NCHINI-MAELEZO YA MKEWE BI. NAILA JIDDAWI

▶︎
Mbinu walizotumia wazee wa Kiislamu Kumlinda Nyerere dhidi ya Maadui

▶︎
KISA CHA NABII SULEIMAN BIN DAUD (A.S) | Tajiri Kuliko Watu Wote Duniani Sheikh Othman Maalim #king

▶︎
HISTORIA YA TANGANYIKA PRT 1 || MZEE BILAL WAIKELA MWAHISTORIA ALIYE SAHAULIKA ||TUNU YA TANGANYIKA

▶︎
Kabla Ya Kuumbwa Dunia – Siri Kubwa Za Mwanzo Wa Uumbaji | NUJABAA TV | Sheikh Othman Maalim

▶︎
Athari za Utawala wa U'Sultan wa Zanzibar kwenye Mwambao wa Pwani ya Kenya-Makala ya Kwanza.

▶︎
TUFUNUWE KITABU (SILSILA 2): Mafunzo kutoka The Partner-ship cha Mzee Jumbe

▶︎
