KILICHOMPATA KANALI ALI MAHFOUDH NA KUFUKUZWA NCHINI-MAELEZO YA MKEWE BI. NAILA JIDDAWI
Kanali Ali Mahfoudh wa Zanzibar alikuwa Komandoo maarufu sana katika visiwa hivyo na Tanzania kwa ujumla. Alishiriki katika harakati za uhuru kwa nchi nchi za Afrika. Lakini baadae chini ya utawala wa Nyerere, Kanali Mahfoudh alikamatwa baada ya kifo cha Sheikh Abeid Amani Karume yeye pamoja na wenyiwe wengine na kuwekwa kizuizini na kisha kuachiwa na kwenda Msumbiji. Aliishi Msumbiji hadi kifo chake. Mkewe Bi Naila Jiddawi, mwanasiasa maarufu visiwani Zanzibar anaelezea kilichotokea na mambo yalivyokuwa. Tazama video hii.

▶︎
Mjue kwa undani Abdurahman Babu, msomi na mwanaharakati wa Zanzibar aliyefuata siasa za aina yake

▶︎
Huyu ndio Mwanamke aliyemmudu sana Mwalimu Nyerere

▶︎
Simulizi Maasi ya Kijeshi 1964: Utata Kuhusu Namna Nyerere Alitoroshwa Ikulu Magogoni | Mohamed Said

▶︎
Abdallah Mssika Aeleza namna alivyomkamata Jasusi wa kwanza Mtanzania Juma Thomas Zangira

▶︎
In the Name of the President: Kitabu cha Mateso ya Magufuli | GUMZO MAALUM na Erick Kabendera

▶︎
Simulizi za Sheikh Thabit Kombo Jecha: Jeshi la Tanganyika linapoandika historia ya Zanzibar

▶︎
Mkuu wa Majeshi wa Kwanza JENERALI SARAKIKYA, Asimulia Alivyoshiriki Kuliunda Jeshi

▶︎
Kwaheri Sayyid Jamshid: Siku na nyakati za mfalme wa mwisho wa Zanzibar | GUMZO MAALUM

▶︎
Bwa mbere umva Itangazo ryaciye kuri Radio MUHABURA ritanzwe na Maj Gen KAGAME abwira ingabo za Leta

▶︎
Pitio la Kitabu: Baraza ya Majestic na Machinjioni kwa Bamkwe

▶︎
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO

▶︎
Hausemwi ila huu ndio Ukweli mchungu nyuma ya Mapinduzi ya Zanzibar

▶︎
ALI KARUME: NINAKUNYWA SIO MLEVI/MIMI BADO NI CCM/NINA NAFASI YA KUWA RAISI ZANZIBAR/MAPINDUZI

▶︎
Maisha ya Lawi Nangwanda Sijaona (1928 - 2005)

▶︎
Huyu ndio Sheikh Hassan Bin Ameir Baba wa Waislamu Tanzania

▶︎
SIRI ILIYOFICHWA MAPINDUZI YA ZNZ: MENGI HAYASEMWI/ KWA NINI WANAKESHA?/ WAAMBIWE UKWELI..!/KAKIMBIA

▶︎
'MFALME WA MWISHO ZANZIBAR', ALIKATAZWA KUINGIA KENYA, ALIONGEA NA NYERERE AKAMUITA

▶︎
Amani Karume aweka hadharani kuhusu Maalim Seif

▶︎
UBUHAMYA BWA MASABO NYANGEZI! NTITUKIBAGIRWE UBUHAMYA BWACU.

▶︎
