'HATMA YA TAIFA HILI LIPO KWA VIJANA'
DAR ES SALAAM: SERIKALI imezindua Mradi wa Keyjana Impact, unaofadhiliwa na Ufalme wa Denmark kupitia Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Denmark (DANIDA) wenye thamani ya Sh bilioni 1.2, ukiwa na lengo la kuwawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika maendeleo, kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na kunufaika na fursa za uchumi wa kijani na buluu. Mradi huo ulianzishwa na vijana watano wa Kitanzania waliopata mafunzo nchini Denmark kuhusu Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs), ambapo walijifunza masuala ya uongozi, ushiriki wa vijana katika maendeleo na mabadiliko ya tabianchi. Baada ya kurejea nchini, walianzisha Keyjana Impact kwa lengo la kuwajengea uwezo vijana wenzao, huku utekelezaji wake ukifanywa na ActionAid Tanzania. Awamu ya kwanza itanufaisha mikoa ya Kigoma, Ruvuma, Mara na Pemba. Akizindua mradi huo leo Julai 17, Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais (Wizara ya Maendeleo ya Vijana), Dk. Kedmon Mapana, amesema serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kuwawezesha vijana ili kufikia Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Amesema serikali pia imeelekeza asilimia 30 ya zabuni zinazopitia mfumo wa manunuzi ya umma zitengwe kwa vijana na imetenga Sh bilioni 200 za mikopo kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

Minister Biruta questions balance in U.S. approach to Rwanda-DRC peace deal

Episode 36 - Prof. Achille Mbembe: Why Africa Is Still Not Free After 70 Years

HIZI HAPA FAIDA ZA UJENZI WA MELI NNE ZA MZIGO KIGOMA

LIVE : CLOUDS 360 NA KUNANI TZ I MASTORI YA TOWN I KUMEKUCHA UCHAMBUZI WA MAGAZETI I 21.07.2026.

Usalama wa Wanahabari Nchini: Baadhi ya wanahabari walengwa mikutanoni

BABALEVO ATEMA CHECHE MBELE YA RAIS SAMIA

ZIFAHAMU NYOKA ZENYE SUMU KALI NA JINSI YA KUKABILIANA NAZO

Aliko Dangote: The $13 Billion Bet to Transform Africa's Economy

NI NDE WATEKEREZAGA KO IRAN YAMARA IKI GIHE CYOSE MU NTAMBARA? // KNC NA MUTABARUKA

In the Name of the President: Kitabu cha Mateso ya Magufuli | GUMZO MAALUM na Erick Kabendera

President Mahama Unveils Aviation, Education and Industrial Projects During Volta Tour

Nairobi international financial centre targets attracting $5bn into Kenya by 2030

I left a life of luxury in America, only to come and live in isolation in Kenya | Tuko TV

Askofu Glorious Shoo: Tusijenge Taifa la Wanafiki | Agusia Oktoba 29, Umuhimu wa Matumaini kwa Taifa

DAKIKA 8 ZA RC SIRRO AKIELEZEA MAFANIKIO YA MKOA WA KIGOMA

KEPSA Annual Conference, Awards & Exhibition 2026 | Harrison Ngatia on Kenya's Business Future

PRESIDENT MABULA DISCUSSES THE VISION FOR HIS ADMINISTRATION | SPECIAL INTERVIEW

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42

Saddick Adams Calls On President Mahama To Be A Tough Leader, Break Down Kumasi Houses

