BILIONI 78 KUJIBU CHANGAMOTO ZA WANANCHI HANANG' KWA MWAKA 2026/27

BILIONI 78 KUJIBU CHANGAMOTO ZA WANANCHI HANANG' KWA MWAKA 2026/27 Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Hanang', Mkoa wa Manyara, limepitisha rasimu ya mpango wa bajeti ya shilingi bilioni 78.94 kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Bajeti hii inakusudia matumizi ya kawaida na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya hiyo, ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 24.2 ukilinganisha na bajeti ya sasa ya shilingi bilioni 60.3. Rasimu hiyo imewasilishwa na Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Uratibu, Erick Kayombo, kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji, katika mkutano maalum wa Baraza la Madiwani ulioongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. George Bajuta. Kabla ya kupitishwa rasmi, madiwani walipata nafasi ya kuipitia na kuijadili kwa kina, kutoa maoni na mapendekezo ya maboresho ili kuhakikisha bajeti inazingatia vipaumbele vya wananchi na mwelekeo wa maendeleo ya Halmashauri. Miongoni mwa hoja zilizojadiliwa kwa uzito ni pamoja na mbinu zinazotumika katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, kudhibiti upotevu wa mapato hasa yatokanayo na mazao, ukodishaji wa mashamba, na vibanda vya stendi. Aidha, madiwani wamesisitiza umuhimu wa kuimarisha mifumo ya ukusanyaji wa mapato ili kuongeza ufanisi na kuhakikisha Halmashauri inapata rasilimali za kutosha kugharamia huduma na miradi ya maendeleo. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang', Mwalimu Geoffrey Abayo, amewashukuru waheshimiwa madiwani kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa kwa wataalamu katika kutekeleza majukumu yao kwa mshatakabali wa Hanang'.

#TBC1 SIMULIZI ZA HANANG: IFAHAMU WILAYA YA HANANG NA MAPOROMOKO YA MLIMA HANANG
▶︎

#TBC1 SIMULIZI ZA HANANG: IFAHAMU WILAYA YA HANANG NA MAPOROMOKO YA MLIMA HANANG

MADIWANI HANANG' WAIANGUKIA SERIKALI KUHUSU MWEKEZAJI NGANO LTD ALIYETELEKEZA SHAMBA
▶︎

MADIWANI HANANG' WAIANGUKIA SERIKALI KUHUSU MWEKEZAJI NGANO LTD ALIYETELEKEZA SHAMBA

HISTORIA YA KWELI YA MLIMA HANANG, UREFU, CHANZO CHAKE NI VOLCANO, IMEKUFA HAIWEZI KUTOKEA
▶︎

HISTORIA YA KWELI YA MLIMA HANANG, UREFU, CHANZO CHAKE NI VOLCANO, IMEKUFA HAIWEZI KUTOKEA

🔴 #LIVE HAFLA YA UTIAJI SAINI HATI ZA MAKUBALIANO BAINA YA TBPL (KAMPUNI TANZU YA NDC)
▶︎

🔴 #LIVE HAFLA YA UTIAJI SAINI HATI ZA MAKUBALIANO BAINA YA TBPL (KAMPUNI TANZU YA NDC)

Seriake Dickson Speaks On NDC Registration Status, Legal Battles + More | Sunday Politics
▶︎

Seriake Dickson Speaks On NDC Registration Status, Legal Battles + More | Sunday Politics

FAHAMU; ZIWA BABATI na MANDHARI SAFI YENYE KUVUTIA ndani Ya Ziwa
▶︎

FAHAMU; ZIWA BABATI na MANDHARI SAFI YENYE KUVUTIA ndani Ya Ziwa

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura
▶︎

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

Commissioning of Ngong Road–Naivasha Road Flyover, Nairobi.
▶︎

Commissioning of Ngong Road–Naivasha Road Flyover, Nairobi.

MAKALA MAALUM YA KIWANDA CHA KMTC KAMPUNI TANZU YA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC).
▶︎

MAKALA MAALUM YA KIWANDA CHA KMTC KAMPUNI TANZU YA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC).

MASUSU KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI WA MILIONI 675
▶︎

MASUSU KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI WA MILIONI 675

RPC JONGO; MARUFUKU ‘TOZO’ VITUO VYA POLISI. POLISI AKIKUDAI HELA NIPIGIE.
▶︎

RPC JONGO; MARUFUKU ‘TOZO’ VITUO VYA POLISI. POLISI AKIKUDAI HELA NIPIGIE.

RC SENDIGA AIPONGEZA HANANG KWA KUPATA HATI SAFI YA UKAGUZI
▶︎

RC SENDIGA AIPONGEZA HANANG KWA KUPATA HATI SAFI YA UKAGUZI

NIMEFIKA HANANG /KATESH KULIPOTOKEA MAFURIKO YA TOPE/ HALI NI MBAYA/WAMEPITIA MTIHANI MZITO
▶︎

NIMEFIKA HANANG /KATESH KULIPOTOKEA MAFURIKO YA TOPE/ HALI NI MBAYA/WAMEPITIA MTIHANI MZITO

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..
▶︎

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

Emergency medical Team Rushed To Statehouse After Ruto Received Shocking Bad News
▶︎

Emergency medical Team Rushed To Statehouse After Ruto Received Shocking Bad News

BARAZA LA MADIWANI HANANG' LATOA 'HEKO' KWA MKURUGENZI KUSIMAMIA VIZURI MIRADI
▶︎

BARAZA LA MADIWANI HANANG' LATOA 'HEKO' KWA MKURUGENZI KUSIMAMIA VIZURI MIRADI

DAS HANANG' AWATAKA WASAFIRISHAJI KUSHUSHA NA KUPAKIA ABIRIA STENDI YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
▶︎

DAS HANANG' AWATAKA WASAFIRISHAJI KUSHUSHA NA KUPAKIA ABIRIA STENDI YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Madeleka: ‘Katambi Alikuwa Anaongea Kitu Ambacho Hakijui Ndani ya Bunge’
▶︎

Madeleka: ‘Katambi Alikuwa Anaongea Kitu Ambacho Hakijui Ndani ya Bunge’

የግብርና ሚኒስትር አቶ አዲሱ አረጋ በ2018 የአረንጓዴ አሻራ ማስጀመሪያ ስነ ስርዓት ላይ ያስተላለፉት
▶︎

የግብርና ሚኒስትር አቶ አዲሱ አረጋ በ2018 የአረንጓዴ አሻራ ማስጀመሪያ ስነ ስርዓት ላይ ያስተላለፉት

Idadi ya watu waliokufa kwenye maporomoko ya Mlima Hanang yaongezeka na kufikia 69
▶︎

Idadi ya watu waliokufa kwenye maporomoko ya Mlima Hanang yaongezeka na kufikia 69