Mchungaji Irene P. Bufule. Mchungaji namba 100 wa dayosisi ya Karagwe

Mchungaji Irene Pontion Bufule ni mchungaji wa 100 katika dayosisi ya Karagwe na ni wa 13 kwa wachungaji wanawake katika dayosisi hii. Amebarikiwa na kupangiwa kuhudumu katika Kanisa kuu Lukajange ambalo lipo makao makuu ya dayosisi ya Karagwe. #kad #karagwe #kijitonyama #ikulumawasiliano Na: Merabu Birakashekwa.