KWAYA YA UFUNUO KUTOKA DAYOSISI YA KARAGWE MKOANI KAGERA

Ibada ya Jumapili tarehe. 17.12.2023 K.K.K.T. Usharika wa Kingereka iliyo ongozwa na Mchungaji Cryson Munisi na Kuwakaribisha kwaya ya Ufunuo kutoka Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera (ambao ni rafiki wa kwaya /Usharika wa Kingereka) wakaimba wimbo uliowagusa wengi