SHEIKH NASSOR AWAONYA VIJANA KUHUSU UVUNJIFU WA AMANI
Sheikh wa Mkoa wa Singida, Alhaji Issa Nassor, amewataka vijana mkoani humo kuepuka kushiriki katika vitendo vyovyote vinavyohatarisha au kuvunja amani ya nchi. Amesema baadhi ya taarifa na maneno yanayoenea kupitia mitandao ya kijamii yamekuwa chanzo cha chuki, taharuki na kupotosha ukweli kuhusu viongozi wa taifa, hivyo vijana wanapaswa kuwa waangalifu na kuepuka kuyafuata bila kujiridhisha. Akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu katika mji mdogo wa Nduguti, wilayani Mkalama, Sheikh Nassor amesema amani ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya taifa, hivyo kila kijana anapaswa kuwa mlinzi wa amani na mshiriki wa juhudi za kudumisha umoja na mshikamano. Aidha, amesisitiza kuwa viongozi wa dini wanaendelea kuhimiza maadili, upendo na utiifu kwa mamlaka halali za nchi.

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

SHEIKH NASSOR: “AMANI HAIJENGWI KWA UMWAGAJI WA DAMU”

Tunesien – Niederlande Highlights | Gruppe F, FIFA WM 2026 | sportstudio

Mzee wa miaka 99 afia gerezani na ujumbe kwa Rais Samia | GUMZO MAALUM | Sheikh Ponda & M.Ghassani

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

MADEREVA BODA BODA WA KITUO NA. 7 GINERY WATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA MANDEWA,

Trump accuses Iran of violating ceasefire with drone attacks in Strait of Hormuz

Mikutano ya hadhara ya kisiasa Tanzania, yapigwa marufuku

Bolton pleads guilty to illegally retaining classified information

Florida Rep. Debbie Wasserman Schultz speaks out over TSP ruling from Supreme Court

BARABARA YA MISIGIRI–NKINGI YALETA NAFUU KWA SHUGHULI ZA KIUCHUMI

What happens if Donald Trump dies? | Sandra Navidi

Crews dig through Venezuela earthquake rubble, 589 killed

Trump accuses Iran of “violation” after ship struck in Strait of Hormuz

SHEIKH WA MKOA SINGIDA AONGOZA HARAMBEE WILAYA YA SINGIDA

'Fertilizer Doesn't Go Well With Water': Trump Says Reflecting Pool 'Vandals' Dumped Fertilizer Too

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

