SHEIKH NASSOR: “AMANI HAIJENGWI KWA UMWAGAJI WA DAMU”
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Singida wametakiwa kuepuka kujihusisha na vurugu au maandiko yanayosambazwa mitandaoni yanayoweza kuhatarisha amani na utulivu wa nchi. Wito huo umetolewa na Sheikh wa Mkoa wa Singida, Alhaji Issa Nassor, wakati akizungumza na waumini wa dini hiyo katika msikiti wa Wilaya ya Ikungi hivi karibuni. Sheikh Nassor amesema kuwa baadhi ya watu, hasa kupitia mitandao ya kijamii na wanaharakati wasio na imani wala heshima kwa mamlaka za nchi, wamekuwa wakieneza ujumbe unaoweza kuchochea vurugu, jambo ambalo ni kinyume na mafundisho ya dini. “Amani ya nchi yetu imejengwa kwa maridhiano na siyo kwa umwagaji wa damu. Hata Mtume Muhammad (S.A.W) alikomboa mji wa Makka kwa amani na mazungumzo,” alisema Sheikh Nassor. Aidha, amesema vitabu vya dini vinaelekeza wafuasi wote kutii mamlaka zilizowekwa, kwa kuwa kufanya hivyo ni sehemu ya imani na utiifu kwa Mwenyezi Mungu. Sheikh Nassor amewataka viongozi wa dini na wazazi kuhakikisha wanawaelimisha vijana juu ya umuhimu wa kulinda amani na kuepuka ushawishi wa watu wanaotumia mitandao kwa nia ya kuleta migawanyiko.

HII NDIO SIKU MAALUM YA ASHURAA UMUHIMU WA KUFUNGA SIKU YA ASHURAA || SHEIKH OTHMAN SINGA

What Happened to Pastor Pius Muiru?

SHEIKH WA MKOA SINGIDA AONGOZA HARAMBEE WILAYA YA SINGIDA

My Shocking Life In The USA

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

HABIB OMAR BIN SUMEIT | USTADH SAID ALI HASSAN | MASJID KONZI | 2026

KISA CHA KUHUZUNISHA CANADA //Sheikh Othman Maalim

Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.

Mix the chickpeas and eggs! I learned this trick in a fancy restaurant!

Muxaadaro Cusub || BBS MALL || Sh Abdirashid Sh Ali Sufi

Built To Last - Dr. Corey L. Brown

Maisha Mema || Sheikh Hassan Ahmed

KIJANA MUNGU NKUNIAA MAMBOLEO ALIYEKUWA MLINZI WA MIFUGO AUAWA KIKATILI NA KUNDI LA VIJANA MBARALI

BARABARA YA MISIGIRI–NKINGI YALETA NAFUU KWA SHUGHULI ZA KIUCHUMI

NEEMA YA ALLAH JUU YETU || SH SAID BAFANA

PLO Lumumba BLASTS South Africa: "This Is Not Xenophobia, It's Afrophobia"

Allah Atakupenda Ukitekeleza Ibada Hizi | Sheikh Said Bafana

Kisa Cha Watu Wa Sabai | Na Watu Watatu Walio Tahiniwia Na Allah | Mafunzo Na Mazingatio Dr Islam

🛑LIVE 3rd WAVE EXECUTION TO DEATH OF THE KULUNA NA ANGENGA...MUTAMBA RUTHLESS, END OF KULUNA

