AJIRA ZA HALMASHAURI NA SEKRETARIETI ZA MIKOA KUOMBWA KUPITIA AJIRA PORTAL
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeendesha mafunzo kwa Maofisa Utumishi na Maofisa TEHAMA kutoka katika Halmashauri na Sekretarieti za Mikoa ya Tabora, Manyara, Kigoma na Lindi. Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo maofisa hao kuhusu Mchakato wa Ajira ambapo kwa sasa maombi ya Ajira katika Halmashauri na Sekretarieti za Mikoa yataanza kuombwa kupitia mfumo wa Ajira Portal, tofauti na hapo awali ambapo maombi hayo hayakuwa yakifanywa kupitia mfumo huo. Mgeni rasmi katika mafunzo hayo alikuwa ni Kaimu Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bwana Innocent Bomani ambaye aliwakilishwa na Naibu Katibu, Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samuel Tanguye. Mafunzo hayo yemefanyika mjini Morogoro.

MATOKEO YA USAILI WA MAHOJIANO (ORAL) NA WALIOPO KWENYE KANZIDATA KUANZA KUWEKWA WAZI HIVI KARIBUNI

UFAHAMU MCHAKATO WA AJIRA

KUJITOLEA SIO KIGEZO CHA KUPATA AJIRA

MAMBO MUHIMU YA YANAYOZINGATIWA KATIKA MCHAKATO WA AJIRA

🔴MPYA: AJIRA ZA JESHI LA POLISI 2024 SIKU ZA KUTUMA MAOMBI ZAONGEZEKA|AJIRA JESHI LA POLISI 2024/25.

VIONGOZI WA TAASISI ZA UMMA KATAVI WAKUMBUSHWA WAJIBU WA KULINDA MALI ZA SERIKALI.

FAHAMU KUHUSU KANZIDATA (DATABASE) YA SEKRETARIETI YA AJIRA

WAAJIRIWA WAPYA WASIMULIA JINSI WALIVYOPATA AJIRA KUPITIA SEKRETARIETI YA AJIRA

MAJIBU YA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA MCHAKATO WA AJIRA

WALIMU WENGINE WA AJIRA MPYA WAHITIMU MAFUNZO MAALUM KOROGWE

Kenya Literature Bureau Strategic Plan 2025-2030 Launch

VIGEZO MUHIMU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUOMBA AJIRA

DC KALLI AINGILIA KATI KERO ZA MADEREVA WA MALORI LONGIDO

TEHAMA ILIVYOBADILISHA MCHAKATO WA AJIRA KUTOKA ANALOJIA HADI KIDIGITALI

MAKALA : SIKU 100 ZA MHE. RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN SEKTA YA AJIRA (AJIRA 12,000)

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

SIFA ZA MSAILIWA KUWEKWA KWENYE KANZIDATA/ DATABASE

NAMNA YA KUPATA TAARIFA ZA NAFASI ZA AJIRA SERIKALINI

