TANZANIA KUZALISHA MBOLEA HAI

Hafla hiyo pia imehudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Mhe. Humphrey Polepole, ambaye ameeleza kuridhishwa na hatua hiyo muhimu katika kudumisha mahusiano kati ya nchi hizi mbili. “Mikakati kama hii inaakisi dhamira ya mataifa yetu kuendeleza ustawi wa wananchi wake kupitia teknolojia na maarifa.” Nae Mkurugenzi wa LABIOFAM S.A Bw. Julio Gonzalez amesema uhaulishaji wa teknolojia utafanyika kwa bidhaa zote zinazo tarajiwa kuzalishwa na kiwanda cha TBPL. Mkataba huu unatarajiwa kuchochea mapinduzi katika sekta ya kilimo, kwa kutoa mbolea salama kwa matumizi ya wakulima wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Aidha, unakuza maarifa ya kitaalamu, ajira kwa vijana, na kusaidia jitihada za kupunguza matumizi ya kemikali hatarishi katika uzalishaji wa chakula.

TEKNOLOJIA KUTOKA CUBA KUTUA TBPL-KIBAHA KUZALISHA BIDHAA ZAIDI ZA KIBAIOLOJIA!
▶︎

TEKNOLOJIA KUTOKA CUBA KUTUA TBPL-KIBAHA KUZALISHA BIDHAA ZAIDI ZA KIBAIOLOJIA!

WAZIRI MKUU ALIVYOBANWA MASWALI NA WABUNGE
▶︎

WAZIRI MKUU ALIVYOBANWA MASWALI NA WABUNGE

MAKAMU DKT NCHIMBI AMPOKEA RAIS SAMIA AIRPORT DAR AKIWASILI KUTOKEA URUSI...
▶︎

MAKAMU DKT NCHIMBI AMPOKEA RAIS SAMIA AIRPORT DAR AKIWASILI KUTOKEA URUSI...

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu
▶︎

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

''We don't need any lesson from BBC or anyone else" - President KAGAME
▶︎

''We don't need any lesson from BBC or anyone else" - President KAGAME

ጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አሕመድ (ዶ/ር) ስለዲጂታል ኢትዮጵያ 2030 የሰጡት ማብራሪያ | Pm Abiy Ahmed | Digital Ethiopia |
▶︎

ጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አሕመድ (ዶ/ር) ስለዲጂታል ኢትዮጵያ 2030 የሰጡት ማብራሪያ | Pm Abiy Ahmed | Digital Ethiopia |

MIMI NKO TAYARI KUFANYA KAZI NA WEWE!!!FRED MATIANGI PRESIDENT RUTO FOR CABINATE MINISTER POSITION
▶︎

MIMI NKO TAYARI KUFANYA KAZI NA WEWE!!!FRED MATIANGI PRESIDENT RUTO FOR CABINATE MINISTER POSITION

MAKALA MAALUM YA KIWANDA CHA KMTC KAMPUNI TANZU YA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC).
▶︎

MAKALA MAALUM YA KIWANDA CHA KMTC KAMPUNI TANZU YA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC).

Comment CHAQUE Équipe s’est Qualifiée pour le Mondial 2026
▶︎

Comment CHAQUE Équipe s’est Qualifiée pour le Mondial 2026

China’s investment in renewable energy pays off
▶︎

China’s investment in renewable energy pays off

Vance touts 'successful foundation' in remarks on Iran-U.S. negotiations
▶︎

Vance touts 'successful foundation' in remarks on Iran-U.S. negotiations

Ghana Just Defied Global Pressure — Now Everything Could Change
▶︎

Ghana Just Defied Global Pressure — Now Everything Could Change

How Uzbekistan could liberalise its economy with a push into green energy | FT Film
▶︎

How Uzbekistan could liberalise its economy with a push into green energy | FT Film

Lawrence: Trump's describing his so-called Iran deal the only way he knows how. With nonstop lying.
▶︎

Lawrence: Trump's describing his so-called Iran deal the only way he knows how. With nonstop lying.

KM
▶︎

KM

Walipeleka Viherehere huko bunge wakashindwa kujibu ni Vipengele vipi! Ruto to Opposition MPs
▶︎

Walipeleka Viherehere huko bunge wakashindwa kujibu ni Vipengele vipi! Ruto to Opposition MPs

LUMBERSA YATAJWA KUWA CHANZO CHA WAKULIMA KUPUNJWA MAPATO
▶︎

LUMBERSA YATAJWA KUWA CHANZO CHA WAKULIMA KUPUNJWA MAPATO

YALIYOJIRI DODOMA MEI 18 - 23, 2026
▶︎

YALIYOJIRI DODOMA MEI 18 - 23, 2026

🔴 #LIVE HAFLA YA UTIAJI SAINI HATI ZA MAKUBALIANO BAINA YA TBPL (KAMPUNI TANZU YA NDC)
▶︎

🔴 #LIVE HAFLA YA UTIAJI SAINI HATI ZA MAKUBALIANO BAINA YA TBPL (KAMPUNI TANZU YA NDC)

Su'aalo Iyo Jawaabo
▶︎

Su'aalo Iyo Jawaabo