NIMR INAVYOBORESHA HUDUMA ZA AFYA KUPITIA SHAHIDI ZA KISAYANSI
Kitengo cha Utafiti wa Mifumo ya Afya, Sera na Uchakataji wa Matokeo ya Tafiti NIMR kinahakikisha matokeo ya utafiti yanawafikia Watunga Sera, Watoa Maamuzi na Jamii. Matokeo haya huwasilishwa kupitia Vijarida Sera (policy briefs), Mikutano ya Majadiliano na Watunga Sera, Machapisho ya Kisayansi Kitaifa na Kimataifa, pamoja na Makongamano ya Kisayansi. Taarifa za Tafiti hubadilishwa kuwa maarifa yanayotumika kuboresha Sera, Miongozo na Huduma za Afya Nchini. Dkt. Elizabeth Shayo, Mtafiti Mkuu na Mkuu wa Kitengo hiki, anaeleza jinsi NIMR inavyotekeleza shughuli hizi ili kuleta athari chanya kwa maisha ya Watanzania. Kwa maelezo zaidi kuhusu NIMR na shughuli zake endelea kutembelea tovuti ya NIMR www.nmr.or.tz na mitandao ya kijamii ya NIMR Tanzania.

NIMR YAONGOZA MDAHALO WA SERA ILI USHAHIDI WA KISAYANSI UTUMIKA KUKABILI MILIPUKO YA MAGONJWA

FAHAMU NAMNA YA KUOMBA KIBALI CHA KUCHAPISHA MACHAPISHO YA UTAFITI NCHINI

UTAFITI - KUANGALIA MTAZAMO WA JAMII KUHUSU USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA KUDHIBIT WADUDU DHURIFU

Implementation & outcomes of Enhanced Recovery After Caesarean Section ERAC - Dr John Ndungu Kimani

MCHANGO WA KITENGO CHA TEHAMA KATIKA SHUGHULI ZA UTAFITI NIMR

FAHAMU KUHUSU KITUO KIDOGO CHA UTAFITI CHA NIMR AMANI HILL

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

NYUMBANI KWA RAIS WA NAMIBIA MAGOMENI DSM, MAJIRANI ALIOISHI NAO WAFUNGUKA "ALIOLEWA HAPA HAPA"

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

𝗡𝗜𝗠𝗥 𝗬𝗔𝗧𝗢𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗢𝗞𝗘𝗢 𝗬𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗙𝗜𝗧𝗜 𝗠𝗪𝗘𝗟𝗘𝗞𝗘𝗢 𝗠𝗣𝗬𝗔 𝗗𝗛𝗜𝗗𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗟𝗜𝗣𝗨𝗞𝗢 𝗬𝗔𝗡𝗔𝗬𝗢𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗪𝗔𝗗𝗨𝗗𝗨

KONGAMANO LA 33 LA KISAYANSI LA NIMR JUNI 9 2026

NCC YAFUNZA MBINU BORA ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA UJENZI

Jootrh yaokoa maisha ya mtoto wa siku 17 baada ya kufanikisha mchakato wa kumwosha figo

Démission, Revirement de Diomaye...: Grosses Révélations de Cheikh Thioro Mbacké

This is what causes fibroids!

KONGAMANO LA 33 LA KISAYANSI 9-11 JUNI 2026 ARUSHA

MWILI WA MAREHEMU SACP RICHARD G. ABWAO KUWASILI NYUMBANI KWAO MKOANI MARA WILAYA YA RORYA

RICHARD WA ARUSHA ALIYEDAIWA KUMBAKA MWANAE YABAINIKA SI KWELI, MTOTO APIMWA HOSPITALI MBILI TOFAUTI

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

