TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA wa MTANDAONI KUJISAJILI KUEPUKA ADHABU za KODI.....
TRA YAWATAKA WAFANYABIASHARA wa MTANDAONI KUJISAJILI KUEPUKA ADHABU za KODI..... MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesisitiza kutekeleza agizo lake la kutoza kodi kwa biashara za mtandaoni, hususan huduma za malazi (online accommodation), ifikapo Septemba Mosi,mwaka huu 2025 Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Agosti 9, 2025 wakati wa uzinduzi wa kampeni ya elimu ya kodi kwa biashara za mtandaoni, Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, amesema licha ya muda wa usajili kuhitimishwa Agosti 31, baadhi ya wadau wamelalamika muda huo kutotosha na kuomba uongezwe. Hata hivyo, TRA itatekeleza agizo hilo kama lilivyoelekezwa, kufuatia mabadiliko ya kifungu cha 51 cha Sheria ya Kodi, kitakachoanza rasmi Septemba 1 mwaka huu, kwa wamiliki wa mali za majengo yanayotoa huduma za malazi wanaotumia majukwaa ya mtandao. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

FAHAMU MABADILIKO YA SHERIA ZA KODI KWA MWAKA 2025/2026

Zifahamu Kodi Zinazotozwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA) JIJINI DODOMA

🔴#Live:🌙 RAMADHANI 2026: VIJANA WAISLAMU WAMEJIANDAA VIPI? – BROTHER SALEH AFUNGUKA..#mapito

WATANZANIA WATARAJIE KASI ZAIDI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA: MKURUGENZI MKUU TAKUKURU

MAHOJIANO: TRA yafafanua kodi kwa biashara za mitandaoni

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

TRA YAWATAKA MAWINGA WOTE WAJITOKEZE KULIPA KODI

KIMEWAKA! MIKONO INAONGEA - ULINGO WAWAKA MOTO - MBELE MTITI NYUMA MTITI

Press Statement by Ousmane SONKO, Pastef - The Patriots

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

RAIS SAMIA AELEZA SABABU YA KUMUONDOA BOSS WA TRA "NILIONA ATA DATA"

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA WILAYA YA CHAMWINO MKOANI DODOMA

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

Dodoma; Wabunge walilia Trump kutomkamata Samia na Wabunge wa CCM kuhusu Mauaji mengi ya Oktoba 2025

PEREZIDA KAGAME 'IGIHUGU NTABWO CYABA INGWATE KU BANTU BASHAKA KUGIRA NGO AMATEKA ABE UKO BAYASHAKA'

NGUMU KUMEZA ILA NDIO NGUMI ZINAUMA NYIE - PATUPATU RASTA HOI - KICHAPO MWANAUKOME

MAWINGA KARIAKOO Wafunguka MAZITO/KODI Za TRA ZAWALIZA/KIASI WANACHOKIPATA Ni HIKI/MREMBO Aliyewapo

