Sakata la aliyevunja Kanisa Katoliki Geita bado bichi, aendelea kusota rumande
Kijana Elpidius Edward(22) mkazi wa mtaa wa Katundu wilaya ya Geita anaeshtakiwa kwa makosa mawili ya kuvunja na kuingia kwenye jengo la kanisa na kuharibu mali ya kanisa kuu la Kiaskofu jimbo Katoliki Geita yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 48.2 ameendelea kusota rumande kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya dhamana. Kijana huyo alifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Machi 6,2023 na kupewa haki ya dhamana lakini alikosa mdhamini na kurudi rumande hadi jana machi 20 kesi hiyo namba 62/2023 ilipokuja kwa ajili ya kutajwa. Hakimu aliyesikiliza shauri hilo Nyakato Bigirwa alimweleza mtuhumiwa kuwa dhamana iko wazi na kumtaka kuwa na wadhamini wawili watakaokuwa na fedha taslimu Sh24.1milioni au kuwa na hati ya ardhi yenye thamani ya fedha hizo ambapo Wadhamini waliokuwa mahakamani hapo hawakukidhi vigezo na kesi hiyo imeahirishwa hadi Aprili 4,2023 itakapokuja kwa ajili ya kusomewa hoja za awali.

MADHEHEBU YA KUTAKASA ALTARE NA KANISA KUU LILILOFANYIWA KUFURU JIMBO KATOLIKI GEITA

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

Kijana aliyevaamia Kanisa Geita aibua mpya mahakamani

ASHIKILIWA KWA KUVAMIA NA KUVUNJA KANISA GEITA ASKOFU ASIMULIA KWA UCHUNGU

🔴LIVE: ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU JUBILEI YA MIAKA 25 YA UASKOFU ASKOFU MKUU RUWA'ICHI,Kilema Moshi

Nervous System Regulation (999 Hz) | 1 hour handpan music | Malte Marten

VIDEO:ATUHUMIWA KUVUNJA KANISA NA KUFANYA UHALIFU MKOANI GEITA, AFIKISHWA MAHAKAMANI

FIRST CANCELLATION AUCTION TO BE HELD ON 8 AND 9 MAY 2026

Ajali:Sita wanusurika kifo,Lori likfeli breki Moshi!

KWA FURAHA MTATEKA MAJI

#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA HAMSINI NA SABA JUNI 25, 2026

Iran launches strikes, threatens to halt talks

CELEBLATION TIME JIMBO KATOLIKI LA GEITA EPSODI 1 A

U.S. hits Iran with air strikes despite peace deal

How He Cuts This 478kg GIANT Bluefin Tuna Will Blow Your Mind #MonsterTuna

Maandamano ya Maaskofu, Mapadre, Watawa na Waumini kuelekea Kanisa Kuu Geita.

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

I Spent 20 Days Building the Cheapest Forest House Alone to Live: Solo Bushcraft (Full)

VIONGOZI 16 WA CUF ZANZIBAR WATANGAZA KUJIUZULU NAFASI ZAO

