VIONGOZI 16 WA CUF ZANZIBAR WATANGAZA KUJIUZULU NAFASI ZAO

Viongozi 15 wa Chama cha Wananchi (CUF) Zanzibar leo Jumapil, Juni 28, 2026 wametangaza kujiuzulu kwa sababu mbalimbali ikiwemo kutoridhishwa na uongozi wa sasa. Akizungumza kwa niaba ya viongozi 15 waliojiondoa Zanzibar, Omar Mohamed Hassan amesema wamefikia uamuzi huo kutokana na kutoridhishwa na mfumo wa uongozi uliopo pamoja na migogoro ya mara kwa mara inayokikumba chama. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Wilaya Kaskazini A, Vuai Kona Haji amesema tangu ajiunge na CUF hajawahi kuwa mwanachama wa chama kingine lakini sasa ameona hana sababu ya kuendelea kutokana na migogoro isiyokwisha. Kwa upande wake, Makamu Mwenyekiti wa CUF Zanzibar, Haroub Mohamed Shamsi amesema hadi sasa chama hakijapokea barua rasmi kutoka kwa viongozi hao. "Chama kitatoa tamko rasmi endapo kitapokea barua za kujiuzulu. Hadi sasa hakuna barua yoyote iliyowasilishwa kwetu," amesema.

Meru MIDNIGHT U-turn GACHAGUA watch in DISBELIEF as RUTO pointmen REJECT DCP to SUPPORT Kindiki
▶︎

Meru MIDNIGHT U-turn GACHAGUA watch in DISBELIEF as RUTO pointmen REJECT DCP to SUPPORT Kindiki

DC NATEPE AKUTANA NA MAZITO KWARARA, MAJI, AFYA, ULINZI SHIRIKISHI, BARABARA
▶︎

DC NATEPE AKUTANA NA MAZITO KWARARA, MAJI, AFYA, ULINZI SHIRIKISHI, BARABARA

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura
▶︎

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

LIVE : Baraza La Wawakilishi Zanzibar 16/05/2026
▶︎

LIVE : Baraza La Wawakilishi Zanzibar 16/05/2026

AHMED ALLY AFUNGUKIA PAREDI LA UBINGWA, JANGWANI IILIVYOUMIZWA KUIFUNGA SINGIDA, MUDA WOWOTE ITAKUFA
▶︎

AHMED ALLY AFUNGUKIA PAREDI LA UBINGWA, JANGWANI IILIVYOUMIZWA KUIFUNGA SINGIDA, MUDA WOWOTE ITAKUFA

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura
▶︎

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

"Tulitumiliwa" anasema Katibu Mkuu wa Kwanza wa BLM juu ya Zanzibar kuingia kwenye Muungano
▶︎

"Tulitumiliwa" anasema Katibu Mkuu wa Kwanza wa BLM juu ya Zanzibar kuingia kwenye Muungano

Inside Israel’s torture prison camps | One on one with Khaled Mahajna
▶︎

Inside Israel’s torture prison camps | One on one with Khaled Mahajna

DUMA BOKO DROPS A BOMBSHELL IN CAPE TOWN! African Leaders Didn't Expect This
▶︎

DUMA BOKO DROPS A BOMBSHELL IN CAPE TOWN! African Leaders Didn't Expect This

Ajali:Sita wanusurika kifo,Lori likfeli breki Moshi!
▶︎

Ajali:Sita wanusurika kifo,Lori likfeli breki Moshi!

Zohran Mamdani LIVE: NYC Mayor Makes SHOCKING Announcement After Primaries Sweep; Trump Warned
▶︎

Zohran Mamdani LIVE: NYC Mayor Makes SHOCKING Announcement After Primaries Sweep; Trump Warned

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

Miria Matembe's Husband in Shock as Gen Muhoozi Confirms Her Arrest
▶︎

Miria Matembe's Husband in Shock as Gen Muhoozi Confirms Her Arrest

WANAHARAKATI: MJADALA MZITO KAULI YA WAZIRI MKUU MWIGULU NA KATAMBI KULEKEA MAANDAMANO 77 FREE LISSU
▶︎

WANAHARAKATI: MJADALA MZITO KAULI YA WAZIRI MKUU MWIGULU NA KATAMBI KULEKEA MAANDAMANO 77 FREE LISSU

WADAU WA BIASHARA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI SOKO LA  MITAJI NCHINI
▶︎

WADAU WA BIASHARA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI SOKO LA MITAJI NCHINI

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA
▶︎

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

WAZIRI MKUU AGEUKA MBOGO AWALIPUA VIBAYA WALIOPANGA KUFANYA FUJO "TUMEMKAMATA ANALIPWA MULIONI 5"
▶︎

WAZIRI MKUU AGEUKA MBOGO AWALIPUA VIBAYA WALIOPANGA KUFANYA FUJO "TUMEMKAMATA ANALIPWA MULIONI 5"

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza
▶︎

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

The New Face of Nyerere Road Dar Es Salaam in 2026 | new BRT System and 1000+ trees
▶︎

The New Face of Nyerere Road Dar Es Salaam in 2026 | new BRT System and 1000+ trees