SiKUJUA kama mimi ndiye nitakaye vaa viatu vyake ' NILISHTUKA na NIKAUMIA' PINDA amzungumzia Lowassa

Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda amesema kuwa hakupata nafasi ya kukutana na aliye kuwa waziri mkuu wa awamu ya nne Edward Lowassa na kuzungumza naye kitu chochote mara baada ya kutangaza kujiuzulu Bungeni Jijini Dodoma. Pinda amesema hiyo ilitokana na hali ilivyokuwa kwa wakati ule baada ya Lowassa kutangaza uamuzi huo kwani hakuna hata mmoja aliyetegemea hivyo hata yeye alishindwa kuzungumza naye kitu chochote kutokana na uamuzi wake huo. Hayo ameyaeleza leo jumanne Februari 13,2024 nyumbani kwake Zuzu jijini Dodoma wakati alipotembelewa na mwananchi Digital kuzungumzia namna alivyoguswa na kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa kipindi cha awamu ya nne Edward Lowassa. Amesema kwa wakati wote huo hakutegemea kuwa angeteuliwa kurithi nafasi yake hivyo ilikuwa ngumu kidogo kupokea taarifa za uteuzi sababu haikuwa rahisi na hakujua kama yeye atakuja kurithi nafasi ya waziri mkuu.

Edward Lowassa Mahojiano na TBC
▶︎

Edward Lowassa Mahojiano na TBC

LOWASSA ALIVYOPAMBANA NA MISRI KUKAMILISHA MRADI WA MAJI ZIWA VICTORIA | WALITISHIA KUANZISHA VITA
▶︎

LOWASSA ALIVYOPAMBANA NA MISRI KUKAMILISHA MRADI WA MAJI ZIWA VICTORIA | WALITISHIA KUANZISHA VITA

Hussein Bashe: Naamini kile ninachokifanya, Lowassa amenifundisha mambo mengi
▶︎

Hussein Bashe: Naamini kile ninachokifanya, Lowassa amenifundisha mambo mengi

Mzee Kingunge afichua mchakato wa kupata mgombea urais CCM.
▶︎

Mzee Kingunge afichua mchakato wa kupata mgombea urais CCM.

MAANDALIZI YANAENDELEA MONDULI ATAKAPOZIKWA LOWASSA, TAZAMA HALI ILIVYO
▶︎

MAANDALIZI YANAENDELEA MONDULI ATAKAPOZIKWA LOWASSA, TAZAMA HALI ILIVYO

Lowassa calls on Maasais to fulfill Ole Ntimama's will on land
▶︎

Lowassa calls on Maasais to fulfill Ole Ntimama's will on land

MAMA MCHUNGAJI WA MAREHEMU ALIA KUNYIMWA KUSIMAMIA KANISA BAADA YA MUMEWE KUFARIKI "NINA WITO"
▶︎

MAMA MCHUNGAJI WA MAREHEMU ALIA KUNYIMWA KUSIMAMIA KANISA BAADA YA MUMEWE KUFARIKI "NINA WITO"

NAKOSA LAKUSEMA" WAZIRI MKUU MSTAAFU MIZENGO PINDA ASIMULIA ALIVYOFANYA KAZI NA LOWASSA
▶︎

NAKOSA LAKUSEMA" WAZIRI MKUU MSTAAFU MIZENGO PINDA ASIMULIA ALIVYOFANYA KAZI NA LOWASSA

Amakuru Ya BBC #iri Joro KAYUMBA NYAMWASA Arapfuye Nishyano
▶︎

Amakuru Ya BBC #iri Joro KAYUMBA NYAMWASA Arapfuye Nishyano

DKT.SLAA AWA MBOGO WAZIRI MKUU ANATULETEA POROJO,AJIBU VIKALI KAULI YA MWIGULU KUELEKEA MAANDAMANO77
▶︎

DKT.SLAA AWA MBOGO WAZIRI MKUU ANATULETEA POROJO,AJIBU VIKALI KAULI YA MWIGULU KUELEKEA MAANDAMANO77

Former Tanzania Prime Minister Edward Lowassa pays tribute to the late CS Nkaissery
▶︎

Former Tanzania Prime Minister Edward Lowassa pays tribute to the late CS Nkaissery

WAMEHAMA CHADEMA, WAMEFIKA CHAUMMA WAMEANZA KUVURUGANA | KIGAILA AFICHUA KUTOKUWA NAE TENA
▶︎

WAMEHAMA CHADEMA, WAMEFIKA CHAUMMA WAMEANZA KUVURUGANA | KIGAILA AFICHUA KUTOKUWA NAE TENA

KWISUBIZA GOMA -BUKAVU🚨IJAMBA RYA TSHISEKEDI KUMUNSI W'UBWIGENGE 66!
▶︎

KWISUBIZA GOMA -BUKAVU🚨IJAMBA RYA TSHISEKEDI KUMUNSI W'UBWIGENGE 66!

WAZIRI MKUU AMVUNJA MBAVU MJANE WA LOWASSA, ASHINDWA 'KUTAMKA BWANA AHIMIDIWE'
▶︎

WAZIRI MKUU AMVUNJA MBAVU MJANE WA LOWASSA, ASHINDWA 'KUTAMKA BWANA AHIMIDIWE'

WALIOINGIA KWENYE 18 ZA WAZIRI AWESO WAKIPATA CHA MOTO “ASKARI KAMATA HUYU”
▶︎

WALIOINGIA KWENYE 18 ZA WAZIRI AWESO WAKIPATA CHA MOTO “ASKARI KAMATA HUYU”

"WAZIRI AMEONGEA KITU AMBACHO HAKIJUI" MADELEKA AMPASUA KATAMBI BILA UOGA
▶︎

"WAZIRI AMEONGEA KITU AMBACHO HAKIJUI" MADELEKA AMPASUA KATAMBI BILA UOGA

MZEE WASIRA AJILIPUA MSIBANI kwa LOWASSA - ''YALIYOTOKEA ni AJALI KWENYE SIASA''...
▶︎

MZEE WASIRA AJILIPUA MSIBANI kwa LOWASSA - ''YALIYOTOKEA ni AJALI KWENYE SIASA''...

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..
▶︎

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

"NINGEKUWA na PISTO SIJUI INGEKUAJE" - MZEE ATISHIA MBELE YA NAIBU WAZIRI, AMUAMRISHA KUBOMOA NYUMBA
▶︎

"NINGEKUWA na PISTO SIJUI INGEKUAJE" - MZEE ATISHIA MBELE YA NAIBU WAZIRI, AMUAMRISHA KUBOMOA NYUMBA

HAIJAWAHI KUTOKEA, MZUNGU AMLILIA MAKONDA HADHARANI, AOMBA AMSAIDIE JAMBO HILI
▶︎

HAIJAWAHI KUTOKEA, MZUNGU AMLILIA MAKONDA HADHARANI, AOMBA AMSAIDIE JAMBO HILI