HATARI YA KUZUNGUMZA MANENO KATIKA DINI BILA KUWA NA ELIMU NA UTAMBUZI WA KISHERIA: KHUTBA ABDALLAH.

Khutba Imetolewa na Ust: Abdallah Abdulqadir Al-Ahdal , Masjid Tungi Temeke Jijini Dar es Salaam Tanzania Tarehe 07/07/2023, Mada Ikielezea Hatari ya kuzungumzia mambo ya kielimu katika Dibi bila kuwa na elimu na utambuzi wa kisheria, Ni, hatari gani? Inshaallah fatilia hadi mwisho upate kuelimika, tunaomba usambaze ujumbe huu na Allah atawalipeni.