"LEMA ANAJISAHAU, HANA MAMLAKA YOYOTE KWENYE CHAMA" MBOWE
Mbowe amemtaja Lema kama miongoni mwa vijana wake wanaomshambulia, akisema amejiharibia mwenyewe kwa kushindwa kusimamia uongozi wake na sasa amekimbia kugombea uenyekiti wa Kanda ya Kaskazini na ubunge. Lema aliyejitokeza mbele za waandishi wa habari Januari 14, 2025 na kueleza kiini cha mgogoro ndani ya chama hicho, alimkosoa Mbowe akisema kuwa alikataa kusikiliza ushauri waliokuwa wakimpa. “Lema ame mishandle (ameshindwa) uenyekiti katika kanda yake, ikafika mahali akawa hataki kugombea uenyekiti wa kanda. Tukamuuliza Lema kwa nini hugombei uenyekiti wa kanda? Yeye anaamini atashughulikiwa, hata kama hutashinda, ni wapiga kura sio mimi,” amesema Mbowe na kuongeza kuwa alichokifanya ni utovu wa nidhamu. “Bado Lema hajitambui, anaweza kutoka akaita waandishi wa habari, akampiga mwenyekiti, akampiga katibu mkuu, akapiga viongozi wengine, anasahau kwamba mamlaka yake ya nidhamu ni tawi. “Sasa kila mwanachama nchi hii aite waandishi wa habari, abagaze makamu, katibu mkuu, akibagaze chama, halafu mnamwangalia tu…amesema. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #mira

PART 2: MBOWE 'AWAKA' LISSU HANA SHUKRANI, UCHAGUZI UWE LIVE, MKINIKATAA NARUDI NYUMBANI

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

KOFFI OLOMIDÉ SANS FILTRE / L’anniversaire du Président, Didi Stone, Cindy, ses regrets...

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

🔴#Live: LEMA AYAMWAGA MENGINE MAZITO ya CHADEMA - "MBOWE HAWEZI KUWA MUNGU -SIYO ALFA na OMEGA"...

LISSU AMJIBU MBOWE | WENJE, HECHE NA LEMA WALITAKIWA KUFUKUZWA CHADEMA, ASIMULIA MAMBO YA NDAANI.

"PLU is DANGEROUS!" Odonga Otto EXPOSES Muhoozi, Military Takeover & L.O.P Plot

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

🔴#Live: TUNDU LISSU AMUACHA LEMA na KUMTEUA MNYIKA - AMVAA HALIMA MDEE na WENZAKE...

LEMA AMKAANGA MBOWE "USITAMBE KUWA UMETUJENGA BANA"

LEMA ATOBOA SIRI NZITO MANYANYASO ALIYOYAPATA MSIGWA HADI KUHAMA CHAMA, LISSU, WENJE MBOWE WATAJWA

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

TENSION ERUPTS AND ESCALATED INTO VERBAL ASSAULT

MBOWE ANGETAKA KUSHINDA ANGESHINDA | LISSU ALINICHAGUA KULINDA KURA ZAKE | GODBLESS LEMA

Godbless Lema Afunguka Kuhusu Mazungumzo Mazito Nyuma ya Pazia Kabla ya Lissu Vs Mbowe

LISSU ATEMA NYONGO | 'SITOKUBALI UHUNI, NA SITAHAMA CHADEMA LABDA NIFE AU NIFUKUZWE'

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

