DAH! WASHIRIKI WA MISS UNIVERSE 2025 KATIKA MWONEKANO WA KIUTAMADUNI

Tazama washiriki wa Miss Universe Tanzania 2025 wakiwa katika mwonekano wa kiutamaduni katika Ukumbi wa The Superdome, Masaki jijini Dar es Salaam, ambapo zinafanyika fainali za mashindano hayo leo Agosti 23, 2025. ‎ ‎Hii ni mara ya kwanza mashindano hayo kufanyika Tanzania na kuongozwa na mrembo aliyekuwa mshindi wa taji hilo duniani mwaka 2019, Zozibini Tunzi. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj