Ucheleweshaji wa Maisha: Jinsi Shetani Anavyochelewesha Watu Kufikia Hatima Yao.

Katika sermon hii yenye nguvu, tunazungumzia ucheleweshaji wa maisha — jinsi mtu anaweza kuchelewa kutokana na maamuzi, mazingira, au vita vya kiroho vinavyoletwa na shetani ili kumzuia kufikia malengo na hatima yake.