MLINZI WA NYUMBA YA JAJI NA MKEWE WAUAWA MBEYA, MIILI YAWEKWA KWENYE KIROBA NA KUTUPWA, RC AWAKA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Mussa Mmilla kwa tuhuma za mauaji ya kikatili kwa kumpiga nondo Samson Ndavi aliyekuwa mlinzi na mkewe Christina Mwakilembe kwenye nyumba ya marehemu Jaji Bethuell Mmilla eneo la Forest Mpya Jijini Mbeya. Kamishina msaidizi mwandamizi wa Jeshi la Polisi ambaye ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ulrich Matei alisema mlinzi aliuawa february 27 mwaka huu kwa nia ya kumiliki mali za Jaji na baadae mwili kuutupa kwenye msitu wa TFS. Machi 3 mwaka huu Mussa kwa kushirikiana na wenzake walimuua mke wa mlinzi kisha kumfungia ndani ambapo Mussa alikamatwa katika jaribio la kubeba mizigo kwa kutumia gari.

▶︎
AMPLIFAYA:BINTI AOMBA USHAURI, BABA MKWE WANGU ALIWAHI KUWA SPONSOR YAANI MWANAUME WANGU, NIFANYAJE?

▶︎
GEORGE WA MBEYA AJIUA KISA MKE WAKE ANADAIWA VICOBA “MADENI YALIZIDI, WATU WALIKUWA WANADAI PESA ZAO

▶︎
MPIGA DEBE ANAYEMILIKI SHULE YA SEKONDARI ASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA USHIRIKINA

▶︎
WATUHUMIWA WA MAUAJI MBEYA WADAIWA KUACHIWA HURU, WANAFAMILIA WATAKA MWILI UFUKULIWE KWA UCHUNGUZI

▶︎
MAUAJI YA KUTISHA MBEYA , RC CHALAMILA ACHARUKA

▶︎
Sunday Igboho Did the Impossible! Babajide Otitoju’s Brutal Takes on Oyo Security.

▶︎
VURUGU MBEYA! WANANCHI WATAWANYWA KWA MABOMU WAKIZUIA NYUMBA ZAO ZISIBOMOLEWE

▶︎
MJANE AOMBA MSAADA KUOKOA NYUMBA YAKE KWA MADENI YA MAREHEMU MUME WAKE

▶︎
KIJANA HUYU AWALIZA WENYE MAGARI JIJINI MBEYA ANAUWEZO WA KUFUNGUA KILA GARI

▶︎
POLISI MBEYA WANASA WASHUKIWA WA MAUAJI

▶︎
🔴#LIVE: CHADEMA WAITIKISA MPANDA MJINI WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO

▶︎
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI: IDADI VIFO AJALI ILIYOTOKEA MBEYA VYAFIKIA VINNE, FEB 26, 2025.

▶︎
MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

▶︎
HECHE HASHIKIKI MLOWO, AWAWASHIA MOTO POLISI, "UNAVAA KININJA KWANI UKO SUDAN?", AIKAANGA CCM

▶︎
They would be executed at the Ring Road for others to learn a lesson

▶︎
"MATAPELI 11 WAKAMATWA WAKITUMIA MAJINA YA DC JOKATE, WEMA SEPETU, KAJALA KUWAIBIA WATU"

▶︎
HAPATOSHI MBEYA SUGU AMVAA TULIA KWENYE MKUTANO"HAJUI MATATIZO YA WANANCHI"

▶︎
RICHARD WA ARUSHA ALIYEDAIWA KUMBAKA MWANAE YABAINIKA SI KWELI, MTOTO APIMWA HOSPITALI MBILI TOFAUTI

▶︎
A highlight of Mbeya, the Green City in 🇹🇿

▶︎
