Prof. SHEMDOE, BAADA YA KUAPISWA AFANYA KIKAO NA WAKUU WA TASISI ZILIZOPO CHINI YA WIZARA YAKE.

03.02.2020 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemwapisha Katibu Mkuu wa wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe leo Ikulu Dar es Salaam. Baada ya Kuapishwa Prof. Shemdoe amekutana na watendaji wa Taasisi na Wakala waliochini ya Wizara ya Viwanda na Biashara, Prof. Shemdoe amesema kuwa;  “Namshukuru Mwenyezi MUNGU na Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa kuniamini na kuniteua kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara ambayo imebeba dhima ya nchi kuwa na uchumi wa Viwanda. Nawashukuru wakuu wa Taasisi/Wakala na viongozi wote kwa kufika kuonana nami, ninachotaka kuwasisitiza ni kuwa Tufanye kazi ili kwenda na kasi ya Mhe. Rais wetu ambayo ni kuwa na Tanzania ya Viwanda, tujue kuwa tumepewa jukumu kubwa sana hivyo yatupaswa kushirikiana ili kuyafikia malengo ya Mhe. Rais ambayo anategemea katika Wizara yetu tuyafanye''. Nae Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo Dkt. Manege Ludovick kwa niaba ya Maafisa Watendaji Wakuu amemshukuru Katibu Mkuu Mteule Prof. Shemdoe kwa na kumuahidi kumpa ushirikiano “ wewe ni Kiongozi wetu tunakuahidi kukupa ushirikiano ili kufikia malengo ya Wizara na nchi kwa ujumla ya kuwa na Tanzania ya viwanda. Prof. Shemdoe kabla ya uteuzi huu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara alikuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma.

MOTO WA SHEMDOE ALIVYOSHTUKIZA HALMASHAURI DSM "SITOKUWA TAYARI NIPOTEZE KAZI SABABU YA UZEMBE"
▶︎

MOTO WA SHEMDOE ALIVYOSHTUKIZA HALMASHAURI DSM "SITOKUWA TAYARI NIPOTEZE KAZI SABABU YA UZEMBE"

FETA IZALISHE WANAOJIAJIRI,WAAJIRI-PROF. SHEMDOE
▶︎

FETA IZALISHE WANAOJIAJIRI,WAAJIRI-PROF. SHEMDOE

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

"NITAVUNJA MAKUNDI YOTE YALIYOPO MKOANI RUVUMA" PROF RIZIKI SHEMDOE
▶︎

"NITAVUNJA MAKUNDI YOTE YALIYOPO MKOANI RUVUMA" PROF RIZIKI SHEMDOE

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects
▶︎

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

HOTUBA YA RAIS DKT.  JOHN POMBE MAGUFULI  ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

Katibu Mkuu  TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe, rasmi akabidhiwa Ofisi na Eng. Joseph Nyamhanga
▶︎

Katibu Mkuu TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe, rasmi akabidhiwa Ofisi na Eng. Joseph Nyamhanga

KM-TAMISEMI, Prof  Riziki Shemdoe, Amshukuru Samia kwa TARURA. Leo, Saa 3:05 Usiku on ITV-Usikose!.
▶︎

KM-TAMISEMI, Prof Riziki Shemdoe, Amshukuru Samia kwa TARURA. Leo, Saa 3:05 Usiku on ITV-Usikose!.

MINISTER KATAMBI FURIOUS, ISSUES DIRECTIVES TO IGP: "THEY ARE MISUSING SOCIAL MEDIA/NOTHING WILL ...
▶︎

MINISTER KATAMBI FURIOUS, ISSUES DIRECTIVES TO IGP: "THEY ARE MISUSING SOCIAL MEDIA/NOTHING WILL ...

KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI PROF. RIZIKI SHEMDOE
▶︎

KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI PROF. RIZIKI SHEMDOE

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan
▶︎

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

MNYUKANO MKALI BUNGENI ADO SHAIBU AMVAA WAZIRI WA FEDHA
▶︎

MNYUKANO MKALI BUNGENI ADO SHAIBU AMVAA WAZIRI WA FEDHA

I Spent 20 Days Building the Cheapest Forest House Alone to Live: Solo Bushcraft (Full)
▶︎

I Spent 20 Days Building the Cheapest Forest House Alone to Live: Solo Bushcraft (Full)

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story
▶︎

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food
▶︎

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

KATIBU MKUU TAMISEMI ,PROF RIZIKI SHEMDOE ALIPOTEMBELEA HALMASHAURI YA CHALINZE
▶︎

KATIBU MKUU TAMISEMI ,PROF RIZIKI SHEMDOE ALIPOTEMBELEA HALMASHAURI YA CHALINZE

Family TODAY, Esther Nasuwa, Wilbroad Mastai: The Role of a Father in the Family and Society
▶︎

Family TODAY, Esther Nasuwa, Wilbroad Mastai: The Role of a Father in the Family and Society

Magufulification of Africa by Prof. PLO Lomumba.
▶︎

Magufulification of Africa by Prof. PLO Lomumba.

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥
▶︎

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao | Roasted Chicken & Punjabi Curry | Rosh
▶︎

Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao | Roasted Chicken & Punjabi Curry | Rosh