MOBUTU ALIFANYA 'KUFURU BIRTHDAY PARIS' UFARANSA

DAR ES SALAAM: UKITAKA kufahamu uadilifu wa kweli wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — basi tazama maisha ya baadhi ya viongozi wa Afrika wa zama zake. Sheikh Mohamed Said, anasimulia namna Mobutu Sese Seko Kuku wa Zabanga alivyojizolea umaarufu kwa anasa na matumizi ya kifahari, akifika hatua ya kuandaa sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa mkewe jijini Paris, Ufaransa — akiwaita wanamuziki maarufu wa Orchestre Sosoliso kutoka Zaire! Ni simulizi inayoonesha tofauti kubwa kati ya uadilifu wa Mwalimu Nyerere na ufahari wa viongozi wengi wa Afrika wakati huo. 🎥 @frankbulilo ✍️ @ismailykawambwa #Miaka26BilaMwalimu #MwalimuNyerere #Ujanjanikupigakura #KurayakoMaishaYako #HabarileoUPDATES #HabarileoUPDATES Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo:   / spotileo-176.  . HabariLeo:   / habarileo   DailyNews:   / dailynewstz   INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09