WAZIRI MKUU AWAWEKA KIKAANGONI MKURUGENZI NA MENEJA TANROAD IRINGA, UKITAKA UBOSI ANZISHA OFISI YAKO
#HABARI: Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ukusanyaji wa mapato ya maegesho katika eneo la Ifunda wilayani Iringa na kuwasilisha taarifa kamili kuhusu namna mapato hayo yalivyokuwa yakikusanywa kabla na baada ya mabadiliko ya mfumo wa ukusanyaji pamoja na matumizi yake. Ametoa agizo hilo wakati akizungumza na kusikiliza kero za wananchi wa Jimbo la Kalenga katika mkutano wa hadhara uliofanyika Ifunda wilayani Iringa mkoani Iringa. Agizo hilo lilitolewa baada ya Waziri Mkuu kuwataka viongozi wa TANROADS, Halmashauri na TAKUKURU kutoa maelezo kuhusu mfumo wa ukusanyaji wa mapato ya maegesho katika eneo hilo na mabadiliko yaliyofanyika katika usimamizi wake. Waziri Mkuu amesema Serikali inaendelea kupitia mifumo ya uwajibikaji na maadili katika utumishi wa umma ili kuhakikisha maeneo yenye vishawishi vikubwa vya rushwa yanawekewa uangalizi unaostahili. Amesema kuna umuhimu wa kuangalia upya mifumo ya matamko ya mali na maadili ili kuimarisha uwajibikaji kwa watumishi wanaosimamia maeneo yenye mikataba, leseni, makadirio ya kodi, madini, bandari na vyanzo vikubwa vya mapato ya Serikali. Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : http://bit.ly/itvtanzania Facebook : https://bit.ly/2KeQNl3 Twitter : https://bit.ly/2XG7aii Instagram : https://bit.ly/34KItmg

ALIYEPEWA UJAUZITO AKIWA MWANAFUNZI ADAI MTOTO, WAZIRI MKUU ASEMA “WAKUTANISHWE”

BABA LEVO AWASHUKIA WANAOKULA NAULI ZA WANAUME "HAYA MAMBO YANALETA HASIRA KWA WANAUME"

WAZIRI MKUU AMGONGA MASWALI MAZITO AFISA ALIYESHINDWA KUTATUA SHIDA ZA WANANCHI MAFINGA.

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..

#BUNGELIVE. BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU,KIKAO CHA AROBAINI NA TANO TAREHE 08 JUNI, 2026

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU ZIARA YA KISERIKALI YA MHE. RAIS DKT. SAMIA NCHINI URUSI

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI, JUNI 08, 2026: ZIARA YA RAIS DKT. SAMIA IMEFUNGUA FURSA ZAKIUWEKEZAJI

LIVE: WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA MAFINGA -IRINGA

🔴MAGAZETI: RAIS SAMIA ATAJA SIRI YA KWENDA RUSSIA , JUNI 08- 2026

NCHIMBI ASOMA MESEJI ALIYOTUMIWA NA HAYATI MAGUFULI HADHARANI "SIWEZI KUHARIBU FUTURE YAKO"

"MKAMATENI" WAZIRI MKUU AAGIZA ALIYEGONGA BAJAJI IRINGA AKAMATWE ALIPE

Leadership Crisis hits Kenya

🔴LIVE: MSIKILIZE DKT. NCHIMBI ANAFUNGUKA MUDA HUU

MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...

"LITAFTENI GARI LAKE MLILETE" WAZIRI MKUU AWAKA Gari la Mwananchi Kukamatwa na TRA Dodoma

REB YASUBIJE ABAVUGA KO BAKOPEYE IKIZAMINI CY'AKAZI || SONKO YATOREWE KUYOBORA ISHYAKA RYA PASTEF

VISUALLY IMPAIRED MAN PLEADS WITH PRIME MINISTER AS WIFE ATTEMPTS TO SELL THEIR HOUSE

HII ITAKULIZA,WANANCHI WAPIGA KELELE KWA WAZIRI MKUU,WAKISEMA ASAIDIWE,ASAIDIWE,ASAIDIWE.

