DCI waanzisha msako mkali wa kuwakamata wezi wa simu Nairobi
Wizi wa simu hapa Nairobi na maeneo mengine nchini umeendelea kuwa donda sugu huku simu hizo sasa idara ya DCI ikibaini kuishia nchi za Tanzania, Uganda , Rwanda na hata Burundi. Katika operesheni ya kuwanasa wahusika ,eneo la Kericho lilipatikana kuwa eneo wanalotumia sana kusafisha mfumo wa simu hizi baada ya kuibwa . Mshukiwa mmoja amekamatwa na simu zaidi ya ishirini kunaswa pamoja na vifaa vya kusafisha mfumo wa simu hizo.
![JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 1]](https://i.ytimg.com/vi/T-Zbu_GIrh4/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLBvTRqiBjy9rWg0Geg65gpaXjy2Qg)
▶︎
JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 1]

▶︎
Maafisa wa DCI wachunguza jinsi watu 5 walikodishwa na familia ya mwanaume aliyeuwawa
![JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 3]](https://i.ytimg.com/vi/U0K4hrTZCns/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLC-flwAhBGBDkjcv5kPWmQ6FbS60Q)
▶︎
JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 3]

▶︎
She Spent 7 Hours in Target to Steal THOUSANDS in Merchandise

▶︎
Report exposes Sh22 billion travel and hospitality spending

▶︎
JKLive News | June 10, 2026

▶︎
3 Men Who Terrorized Nairobi, Kiambu & Kajiado Bars

▶︎
Juma Lokole afunguka Diamond kumfukuza Diva kazi Wasafi Media| Hakuna anayemtaka| Hasara kubwa sana

▶︎
My best friend squandered my Ksh 1.5M Saudi Savings, I found less than 100K after 4 years | Tuko TV

▶︎
Opposition unveils Sh4.3 trillion budget, promises tax-free relief plan

▶︎
Si nis dita për të burgosurit në Burgun e Sigurisë së Lartë?

▶︎
Kile kilifanya nikuje gereza ni marafiki...LIFE IN PRISON 1|| KAMITI MEDIUM PRISON || JAMII YETU

▶︎
Amisi QUITS Linda Mwananchi & Launches NEW Movement — Sifuna Agrees to deputize Kalonzo
![JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]](https://i.ytimg.com/vi/nsNMED63r_o/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLBAdv8YWmyFJDW4xOFh72FtTnTfwQ)
▶︎
JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]

▶︎
The gun robbery that costed our lives

▶︎
Limuru: Wanakijiji waibua maswali baada ya ajuza kuzikwa asubuhi mapema bila jamaa kuhusishwa

▶︎
WAKIRI NJERI MAINA KŨHINYIA CIA CIIRA WA RIGATHI GACHAGUA

▶︎
Teens unable to walk, mothers with rash-covered babies: How Kush is ruining lives

▶︎
DCI yakamata kanda za CCTV kuchunguza mauaji ya Patience Mumbe, 12

▶︎
