Mahafali ya Chuo Likuyu Yasisimua|Nkoba Mabula Aagiza Taasisi Kuwapokea Vijana Waliohitimu

Nkoba Mabula aagiza taasisi kuwapokea vijana waliohitimu mafunzo ya uhifadhi ili kutekeleza dira ya serikali ya kujenga taifa lenye wataalamu wa kutosha katika sekta ya utalii na uhifadhi. Agizo hilo limetolewa wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha Mafunzo ya Maliasili kwa Jamii Likuyu Sekamaganga, ambapo jumla ya wanafunzi 115 walihitimu kozi ya Utalii na Uongozaji Watalii kwa mwaka 2024/2025. Bw. Mabula amesema utekelezaji wa agizo hilo utasaidia kupunguza migogoro ya binadamu na wanyamapori. Tazama video hii ujionee dhamira ya Serikali ya kuwainua vijana, mchango wa chuo hicho, na maoni ya wadau mbalimbali kutoka GIZ, viongozi wa serikali, pamoja na wahitimu waliotoa ahadi ya kulisaidia taifa kupitia elimu waliyoipata. SUBSCRIBE HERE:www.youtube.com/c/tokazamanitv?sub_co... #ChuoLikuyuSekamaganga #MafunzoYaUhifadhi #UtaliiTanzania #WahitimuWaUhifadhi #SerikaliYaTanzania #VijanaNaUhifadhi #AjiraKwaVijana #TaasisiZaMaliasili #UhifadhiEndelevu