Mahafali ya Chuo Likuyu Yasisimua|Nkoba Mabula Aagiza Taasisi Kuwapokea Vijana Waliohitimu
Nkoba Mabula aagiza taasisi kuwapokea vijana waliohitimu mafunzo ya uhifadhi ili kutekeleza dira ya serikali ya kujenga taifa lenye wataalamu wa kutosha katika sekta ya utalii na uhifadhi. Agizo hilo limetolewa wakati wa mahafali ya tano ya Chuo cha Mafunzo ya Maliasili kwa Jamii Likuyu Sekamaganga, ambapo jumla ya wanafunzi 115 walihitimu kozi ya Utalii na Uongozaji Watalii kwa mwaka 2024/2025. Bw. Mabula amesema utekelezaji wa agizo hilo utasaidia kupunguza migogoro ya binadamu na wanyamapori. Tazama video hii ujionee dhamira ya Serikali ya kuwainua vijana, mchango wa chuo hicho, na maoni ya wadau mbalimbali kutoka GIZ, viongozi wa serikali, pamoja na wahitimu waliotoa ahadi ya kulisaidia taifa kupitia elimu waliyoipata. SUBSCRIBE HERE:www.youtube.com/c/tokazamanitv?sub_co... #ChuoLikuyuSekamaganga #MafunzoYaUhifadhi #UtaliiTanzania #WahitimuWaUhifadhi #SerikaliYaTanzania #VijanaNaUhifadhi #AjiraKwaVijana #TaasisiZaMaliasili #UhifadhiEndelevu

IHERE IJISHO AKARASISI K'ABANA BATO | BATOJWE NA POLICE GUKORA AKARASISI

REGROW KUTOA VITENGEA KAZI KWA ASKARI WANYAMAPORI WA VIJIJINI (VGS)

Presidential Inauguration 2024: RDF Colorful parade

FOREIGN LEGION: 4 months to change your life

Is CDF Muhoozi the untouchable law breaker?

A Side of Jamaica The Media Won't Show You!

WAKILI MADELEKA AMSHUKIA WAZIRI ATOE KIFUNGU KILICHOMPA MAMLAKA KUMUAMRISHA IGP

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

Ethiopia is About to Explode.

TAARIFA YA HABARI - AZAM TV - 29/06/2026

🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

KILIMO AJIRA YANGU, UFUGAJI WA SAMAKI MKURANGA SEHEMU YA PILI 24.02.2018

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

🔴KAULI HII YA AHAMED ALLY YALITIKISA, SIMBA WAMEACHA UBINGWA?

Wehrdienst 2026 - mehr als nur Drill & Disziplin? | Y-Kollektiv

DKT NDUMBARO AWAHIMIZA WANANCHI SONGEA KUWA WALINZI WA AMANI NA USALAMA

I Survived Russia's Frontline War – Kenyan Ex-KDF Soldier Reveals Everything | Full Interview

MSTAAFU ALIYEAMUA KUHAMIA KWENYE UFUGAJI WA SAMAKI

