KILELE CHA KAMBI LA MAOMBI YA SIKU TATU | 15.05. 2026

TAG KIMARA Karibu uungane nasi kumwabudu Mungu. Ibada ya kwanza huanza 12:00 asubuhi na ibada ya pili 04:00 asubuhi. Kanisa letu lipo Kimara Mwisho, mwendo wa dakika moja kutoka Morogoro Road. Pia tufuatilie katika mitadao ya kijamii; Instagram @tagkimara   / tagkimara   Facebook @TAG-Kimara Church   / kimaratag   Karibu Ibadani mpendwa!