DC Sabaya Aibua Madudu Kwenye Kahawa Wawili Wadakwa
DC Hai Aibua Madudu Kwenye Kahawa MKUU wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani kwa watu wawili ambao wanadaiwa kuhujumu uchumi kwa kukwepa kodi na kwenda kinyume na maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Kilamanjaro, Bi Anna Mghwira. DC Sabaya amefikia uamuzi huo baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi wanaofanya kazi katika kampuni ya Trevvo inayolima kahawa ambayo imefanya ujanja wa kutumia kampuni nyingine kuuza kahawa hiyo kitu ambacho ni kinyume na sheria. Kufuatia malalamiko hayo, DC Sabaya, pia ameagiza kusimamishwa kwa kiwanda hicho kisiendelee kufanya kazi mpaka pale muafaka utakapopatikana. #DCSABAYA Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK https://www.youtube.com/watch?v=L4UGw...

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

DC SABAYA Alivyowasweka NDANI Viongozi WALIOUZA SHAMBA la KIJIJI..

LIVE: Clouds 360 na Ole Sabaya/Natumia Ubabe Kupata Suluhu ya Wananchi/Huwezi Kumfurahisha Kila Mtu

MSAKO USIKU WA MANANE, SABAYA AVAMIA GODOWN HEWA AKUTA MAGENDO, PESA, MAFUTA NA POMBE

DC SABAYA Amtoa JASHO Injinia, CHUPUCHUPU Amsweke NDANI - "OCS KAMA HUYU"

David Maraga questions High Court ruling, says Gachagua impeachment should have been annulled

MAKALA MAALUMU YA TALIRI KANDA YA KATI

Madawa ya Kulevya Ya Mpeleka DC SABAYA Polisi!

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

MSEMAJI wa FAMILIA ATOA RATIBA NZIMA ya MAZIKO ya MZEE ONYANGO - ''ATAZIKWA MAKABURI ya KONDO''...

🔴 KHUTBA YA IJUMAA || SHEIKH SAID BAFANA || AL-RAHMA MOSQUE,VOI

The Most Powerful Man In Kenyan Media

🔴#LIVE: BUNGE LA BAJETI, WABUNGE WANAIKAANGA SERIKALI BUNGENI MUDA HUU

ODM's Edwin Sifuna says “he does not fear anyone and is ready for whoever comes his way”

DC Sabaya awasha moto aagiza Mkurugenzi akamatwe kwa ubadhirifu wa Milioni 700

DC AVAMIA HOTELINI AMKAMATA JAMAA NA MILIONI 11 BANDIA

DC SABAYA: NATUMIA UBABE KUPATA SULUHU | HAI INAHITAJI UTATUZI WA CHANGAMOTO ZAO

'Ksh.50M is alot for the Senate', Heated Debate as Senators react to Court's Judgement on Gachagua

#TBC1 WEKEZA TANZANIA : SEKTA BINAFSI YAITWA KUWEKEZA KIA

