BLOCKCHAIN NA UCHUMI WA TANZANIA_SEHEMU YA 1

Katika kipindi cha uchumi na biashara Eng. Kabenda Balete na Prof. Honest Ngowi, wakijadiri matumizi ya blockchain katika uchumi wa Tanzania kama ulikosa kipindi cha tar 11/01/2019 ITV tumekusogezea hapa kaa sikiliza jifunze. #Bitcoin#cryptocurrency