Tetesi za Soka Ulaya: Liverpool na Man Utd wamekutana kwa Felix Nmecha wa Dortmund
Chelsea wanaendelea kumfuatilia kwa karibu nyota wa Ujerumani, Florian Wirtz, ambaye kwa sasa anahusishwa na Liverpool. Kiungo huyo mshambuliaji mwenye umri wa miaka 23 aliwahi kung'ara chini ya kocha mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, walipokuwa pamoja Bayer Leverkusen. Hata hivyo, dili lolote la kumleta Stamford Bridge linaweza kutegemea hatma ya kiungo wa Argentina, Enzo Fernandez. Chelsea huenda wakalazimika kwanza kumuuza Enzo, mwenye miaka 25, kabla ya kuanza hatua rasmi ya kumsajili Wirtz. (Football Insider) .Chanzo cha picha,Getty Images Maelezo ya picha,Kiungo wa Ujerumani, Felix Nmecha (kushoto). Kiungo wa kati wa Ujerumani Felix Nmecha yuko tayari kuondoka Borussia Dortmund na anafungua mlango wa kurejea England. Vilabu vya Liverpool na Manchester United vimeonesha nia ya kumsajili nyota huyo mwenye umri wa miaka 25. (Teamtalk) .Chanzo cha picha,Getty Images Nick Woltemade, 24, anawindwa na Aston Villa, Dortmund na Atletico Madrid huku Newcastle ikionekana kuwa tayari kumsikiliza mnunuzi atakayewasilisha dau linalofaa. (AS - in Spanish)

LIVERPOOL KUPELEKA OFFER MPYA YA £115M KUKAMILISHA DILI LA YAN DIOMANDE

Manchester United Yapewa Tumaini la Tchouaméni, Vita vya Mateus Fernandes Vikipamba Moto

ONA MWENYEWE MWIJAKU NA DOTTO MAGARI WALIVYOZICHAPA MBELE YA HAJI MANARA/DIAMOND AHUSISHWA

PORTUGAL 5 UZBEKISTAN 0, GAME ANALYSIS.. RONALDO 2 GOALS ..WHAT WE LEARNT FROM THE GAME..BRUNO..

Dickson Job:Majeraha yanaweza kukuondoa uwanjani, lakini hayawezi kukuondolea ndoto zako.

🚨 TOP 60 CONFIRMED SUMMER TRANSFERS 2026! 🚨🔥 ft. Cucurella, Jiménez, Gordon... etc

Tetesi za soka: Man Utd wakanusha kumsajili Christian Romero wanataka Mshambuliaji mchanga wa Italia

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #5 #adamrose #smartworkers

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

TOM DAKTARI HAPA HAJITOI.

Tetesi za soka ulaya Jumatatu: Man Utd inajipanga kutafuta mshambuliaji Pio Esposito kutoka Italia

Marokko - Haiti, Highlights mit Livekommentar | FIFA WM 2026 | MAGENTA TV

ALIKAMWE AMJIBU AHMED ALLY AWASHANGA SIMBA NA AZAM KUUNGANA YANGA AFUNGWE

🚨 ANDONI IRAOLA'S FIRST SUMMER SIGNING AT LIVERPOOL CONFIRMED | Munoz, Diomande, Barcola & Bouaddi

NETANYAHU ATANGAZA ISRAEL KUACHA KUITEGEMEA MAREKANI KIJESHI -KIUSALAMA ILA KUIKABILI IRAN kwa UHURU

CHRISTIAN RONALDO NI GOAL MACHINE PORTUGAL vs UZBEKISTAN

LIVERPOOL WAMEANZA KAZI HII NI HATARI VICTOR MUNOZ KUTOKA OSSASUNA HERE WE GO 🔥

Bilionea Alijifanya Masikini Alimpeleka Nyumba Ya Udongo ili Kumpima Kama Ana Mapenzi Ya Kweli 😱...

🚨 LATEST CONFIRMED TRANSFERS & RUMOURS! Rogers to Arsenal Rashford to Tottenham, Tonali, Ugarte

