UVCCM DODOMA WAFURAHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA MJI WA KISERIKALI MTUMBA
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV Katika kuadhimisha miaka miwili ya Uongozi wa Rais wa Awamu ya Sita, Dkt Samia Suluhu Hassan, Wajumbe wa Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dodoma leo Machi 16, 2023, wametembelea miradi mbalimbali ya mkakati ukiwemo Mradi wa Mji wa Serikali Mtumba na kupata maelezo kuhusu maendeleo ya mradi huo kutoka kwa Mratibu wa Mchakato wa Kuhamishia Serikali Dodoma kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Meshack Bandawe. Wajumbe hao walioongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Dodoma, Abdulhabib Mwanyemba, wametembelea miradi mingine ya ujenzi wa Reli ya Mwendokasi SGR, Shule ya mfano ya Iyumbu, ujenzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Msalato na ujenzi wa barabare pete.

▶︎
PROF KABUDI ASISITIZA UWANJA DODOMA UJENGWE KIMATAIFA

▶︎
AWAMU YA PILI YA UJENZI WA MJI WA SERIKALI DODOMA KASI MTINDO MMOJA #serikalikazini #kaziiendelee

▶︎
#TBC: TANZANIA KIJANI - KAMPENI YA MTI WA MAMA DODOMA

▶︎
Jinsi ambavyo Nyerere Square Dodoma inavyosaidia vijana wengi kupata wachumba

▶︎
#TBC1: WEKEZA TANZANIA: SHUHUDIA UWEKEZAJI KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MSALATO

▶︎
RAIS SAMIA ANENA HAYA KUHUSU WIZARA YA MAJI, "WIZARA SASA IMEBADILIKA KAZI MNAFANYA KWELI''

▶︎
WAZIRI MKUMBO AWASILISHA BUNGENI TAARIFA KUHUSU HALI YA UCHUMI WA TAIFA NA MPANGO WA WA MAENDELEO

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO WAFIKIA ASILIMIA 72

▶︎
UNAIFAHAMU HII!!!?? TAZAMA TBA ILIVYOSHIRIKI UJENZI WA MJI WA SERIKALI MTUMBA...(Magufuli City)

▶︎
WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

▶︎
VIDEO - HAYA NDIO MAMBO YALIOGUNDULIKA UTATA WA KIFO CHA NUSURA WA UDOM -HAKI ZA BIANADAMU WAFAFANUA

▶︎
LIVE - RAIS SAMIA ANAPOKEA TAARIFA YA CAG NA TAKUKURU

▶︎
TIMU YA DODOMA JIJI KUWEZESHWA

▶︎
Sherehe Ya Wa Mama Maendeleo - Dallas, Texas

▶︎
DILI LA URUSI NA UTALII WETU:TTB WAFUNGUA RAMANI MPYA YA FURSA KWA VIJANA

▶︎
UTAUPENDA MJI WA SERIKALI MAGUFULI CITY UNAVYOJENGWA DODOMA IKULU WIZARA TAASISI NA BALOZI ZOTE HAPA

▶︎
MGALU ANENA MAKUBWA BAJETI KUU YA SERIKALI

▶︎
UJENZI WA BARABARA YA MZUNGUKO DODOMA YENYE KILOMETA 60 WAACHA WATU VINYWA WAZI

▶︎
