BODABODA 'SMART' ANAYEMILIKI NYUMBA NA MADUKA - "SIHITAJI KUAJIRIWA, BODABODA INATOSHA"
Seif Shaibu ni Kijana anayejishughulisha na kazi ya Bodaboda katikati ya jiji la Dar es Salaam tangu mwaka 2009, anasema kutokana na mafanikio aliyo pata kupitia kazi hiyo, hataki tena kuajiriwa ofisini hata kwa ahadi ya mshahara wa Shilingi milioni moja Shaibu anajivunia kujenga makazi yake sanjari na kumiliki Biashara nyingine inayompatia kipato cha ziada ikiwemo kulipia ada ya watoto katika shule binafsi kupitia kazi hiyo, ambayo wengi wamekuwa wakiidharau na kuichukulia poa. Kijana huyo amebainisha hayo katika Exclusive na ripota wetu @hamisimguta na kueleza sababu mbalimbali zinazopeleka wanaojishughulisha na kazi hiyo ya bodaboda kutopata mafanikio. BODABODA 'SMART' ANAYEMILIKI NYUMBA NA MADUKA - "SIHITAJI KUAJIRIWA, BODABODA INATOSHA" WATCH WASAFI TV๐บ AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM ๐ป 88.9 DAR/ZNZ/PWANI ๐ป | 104.1 DODOMA ๐ป | 94.5 ARUSHA ๐ป | 97.3 MBEYA ๐ป | 94.9 MWANZA ๐ป | SHINYANGA 106.3 ๐ป | KIGOMA 101.7 ๐ป Follow Us On: INSTAGRAM: ย ย /ย wasafitvย ย || ย ย /ย wasafifmย ย TWITTER: ย ย /ย wasafitvย ย || ย ย /ย wasafifmย ย FACEBOOK: ย ย /ย wasafitvย ย ๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2021 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ . #wasafi #wasafitv #wasafifm

KIDANI EP8- Mwanamke anaeendesha magari makubwa Dar es Salaam mpaka Congo akiwa peke yake/Monica

ITAKULIZA! MTOTO ANAYEUZA NDIZI AOMBA KUSOMESHWA NA MAKONDA, ACHANGIWA HELA "MAMA YANGU ANAUMWA"

KIPINDI MAALUM: VIJANA NA BIASHARA YA UUZAJI WA PIKIPIKI ZILIZOTUMIKA.

MPAKA HOME: ANAPOISHI NJELEKELA wa FUTUHI, Afunguka MAISHA yake, Amtaja KAJALA, TAUSI na DORAH...

SAMATTA ANA KILA KITU, UTAJIRI WAKE KIASI GANI? โUNAWEZA KUMFANYA AWE NA KINYONGOโ

KUTANA na BODABODA MSTAAFU ALIYEANZISHA KAMPUNI ya KUUZA PIKIPIKI USED - AELEZA MSOTO HADI KUJIPATA

"NIMEACHA KAZI YA LAKI 7 NIKAWA DEREVA TAXI, SASA NAINGIZA MILIONI 4"

Nani Anashikilia Uchumi, Soko, Faida & Umiliki wa Biashara ya Bodaboda ?? | Michael Kamukulu | LENZI

BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA

BIASHARA 15 ZA MTAJI MDOGO ZENYE MZUNGUKO MKUBWA NA FAIDA KUBWA

NJIA RAHISI ZA KUJIFUNZA KUWEKA AKIBA

How I Make Ksh1,700 Daily with Uber & Bolt Boda. Life-Changing opportunity for me

MSAMBAZA CHAKULA ANAYEINGIZA MILIONI 10+, ANAMILIKI PIKIPIKI 21, KAAJIRI VIJANA 40, KAMALIZA UDOM

MWANAMKE ALIEFUNDISHA SHULE ZA INTERNATIONAL, KAACHA NA KUWA DEREVA BAJAJI

BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI

HIVI NDIVYO UNAVYOWEZA KUIBIWA PIKIPIKI AMA GARI LAKO UKIWA NA FUNGUO YAKO/CARD FEKI

JINSI YA KUFAHAMU PIKIPIKI YA WIZI, MADHARA KUINUNUA, BODABODA WENGI WANAZIUZA

HII HATARI MADEREVA UBER NA BOLT WAAPA KUANDAMANA/WAMUOMBA RAIS SAMIA AWASAIDIE/WALIA KWA UCHUNGU

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

