Vipaji hivi ni kama dhabihu by C. Saasita/ Sherehe ya Kupaa Bwana

Misa Takatifu ya sikuku ya kupaa Bwana wetu Yesu Kristu 2026. Parokia ya Mt. Vincent wa Paulo Msamala Jimbo kuu la Songea, Misa imeadhimishwa na Paroko wa Parokia hiyo Fr. Emmanuel Haule CM.