HUKUMU MIAKA 200 JELA! / ADHABU KUPUNGUZWA / MAHAKAMA INA UTARATIBU WA SHERIA

-- Ni mahojiano na wakili wa kujitegemea Emmanuel kyashama kuhusiana na sheria ya uhujumu uchumi utakwenda kusikia busara za mahakama katika kutoa hukumu lakini pia kwanini mtu kufungwa miaka 200 jela. #corona #raissamia #chanjoyacorona