Changamoto zinazowakabili vijana na namna ya kujikwamua

Kwa kijana mafanikio ni kutengeneza msingi na kuacha alama katika jamii yako.Kijana unategemea kuacha alama gani? Video hii inaonyesha baadhi ya changamoto zinazowakumba vijana na namna ya kujikwamua. #MaadiliYaVijana #AfyaYaAkili #Vijana #ElimuYaMaisha #Tanzania